

Msanii wa Bongo Fleva Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa'amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumapili Januari 17,2021 akiendelea na matibabu katika hospitali ya taifa Muhimbili Jijini Dar es salaam.
CPWAA ambaye aliwahi kuunda kundi la Park Lane akiwa na msanii mwenzake Suma Lee kabla ya kundi hilo kuvunjika mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Tutawaletea taarifa zaidi hivi punde
0 comments:
Post a Comment