Monday, 18 January 2021

AMUUA BABU YAKE BAADA YA KUONA ANATESEKA NA MARADHI MUDA MREFU

...

Picha haihusiani na habari hapa chini

Saidi Kihundwa (98), Mkazi wa Kijiji cha Mlangoni katika Kata ya Gararagua, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kuuawa kikatili na mjukuu wake, aliyeona babu yake anateseka na maradhi kwa muda mrefu.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Leonard Makona, alithibitisha taarifa za kuuawa kwa mkazi huyo.

Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita, majira ya jioni nyumbani kwa mzee huyo, mjukuu wake akidaiwa kumpiga na kitu kizito kichwani na kumsababishia umauti.

Soma zaidi: https://epaper.ippmedia.com

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger