Sunday 25 October 2020

Angalia Picha : MAELFU WAJITOKEZA JPM AKIMWAGA SERA ZA CCM NA KUOMBA KURA BABATI MKOANI MANYARA

...

Siku mbili kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli ameendelea kuwafikia Mamilioni kwa Mamilioni ya Watanzania na Kunadi Sera, Ilani ya CCM na kuomba kura kwa Wananchi na Leo ni Zamu ya Manyara ambako amefanya Mkutano Mkubwa Babati ambao umehudhuriwa na Maelfu kwa maelfu ya wananchi
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger