Wednesday 15 July 2020

MWENYEKITI WA CHAMA CHA WALIMU MANISPAA YA SHINYANGA MESHACK MASHIGALA AJITOSA KUWANIA UBUNGE SHINYANGA MJINI

...

Mwenyekiti wa Chama Cha Walimu Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga,Mwalimu Meshack Elias Mashigala amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwalimu Meshack Elias Mashigala leo Jumatano Julai 15 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kupitishwa na chama chake kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini.
Mwenyekiti wa Chama Cha Walimu Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga,Mwalimu Meshack Elias Mashigala akionesha fomu ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger