Monday 27 July 2020

WAFUASI WA CHADEMA WAJITOKEZA KUMPOKEA TUNDU LISSU

...

Wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kumpokea Tundu Lissu. 


Lissu anarejea leo Jumatatu tarehe 27 Julai 2020 akitoka nchini Ubelgiji alikokuwa akipata matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 na watu wasiojulikana mchana wa tarehe 7 Septemba 2017 mjini Dodoma.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger