Thursday 2 July 2020

Jinsi Ya Kuondoa Kitambi Ndani Ya Siku Kumi Na Nne Kwa Kutumia Supu Ya Parachichi.

...
Ipo idadi  kubwa  duniani  ya  watu  wanao  kabiliwa  na  tatizo  la  kuwa  na  kitambi, wanawake  kwa  wanaume.

Kwa  mujibu  wa tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kuwa  na  kitambi  ni  lugha  ya  mwili  ( body-language )  inayo  leta  ujumbe  kwako  kwamba  “ Mwili    wako  haupo  salama  tena “

Kama  una  kitambi   maana  yake  una  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini. Mwili  wako  unatumika  kuhifadhi  mafuta  usiyo  yahitajika.

Hali  hii  kitabibu  imaanisha  kwamba, ogani  nyinginezo  zilizomo  ndani  ya  mwili  wako  zinao gelea  kwenye  mafuta( fats  )  yasiyo  hitajika   yaliyomo ndani  ya  mwili  wako,  jambo  linalo  kuweka  katika  hatari  kubwa  sana  ya  kushambuliwa  na  magonjwa  hatari  kama  vile  shinikizo  kubwa  la  damu, matatizo  katika  moyo, kiharusi  na kisukari  na  kwa kutaja  machache.

Hivyo  basi  ili  kuondokana  na  hatari  hiyo, yakupasa   kupambana  kuondoa  hayo  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini  mwako.

Kusoma zaidi tembelea :
 


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger