Saturday 11 July 2020

BREAKING: Magufuli apitishwa kuwa Mgombea Urais 2020 Kupitia CCM

...
Mkutano Mkuu wa CCM umempitisha Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa tiketi ya CCM kwa kura 1,822 za wajumbe sawa na asilimia mia moja ya Kura zilizopigwa na hakuna Kura zilizoharibika.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger