Friday, 17 July 2020

BONIPHACE BUTONDO ARUDISHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISHAPU

...
Aliyekuwa Mwenyekiti Halmashauri ya wilaya ya Kishapu mwaka (2006-2010) na (2016-2020), Boniface Butondo (kulia) amerudisha fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). 

Boniface Butondo ambaye alikuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC) mwaka 2012 - 2017 na Mwenyekiti Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) mkoa wa Shinyanga mwaka 2002- 2008 amerudisha fomu amerudisha fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kishapu katika ofisi ya CCM wilaya ya Kishapu leo Julai 17,2020.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger