Saturday, 29 February 2020

Mamlaka Ya Udhibiti Na Usimamizi Wa Bima Nchini[TIRA ] Yatoa Mafunzo Kwa Wanahabari Umuhimu Wa Bima Katika Jamii

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma. Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa bima nchini [TIRA]imetoa Mafunzoya kuwajengea uwezo Wanahabari umuhimu wa bima katika jamii  kwani ni moja ya suluhisho kwa Majanga  . Akiwasilisha mada mbalimbali katika Mafunzo hayo jijini Dodoma,Mkurugenzi wa kuendeleza...
Share:

CCM Shinyanga Kujenga Ofisi Za Chama Hicho Kwa Ngazi Zote

SALVATORY NTANDU Chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa shinyanga kimeziagiza kamati za siasa ngazi za vijiji,mitaa, kata na wilaya zote mkoani humo kuhakikisha wanajenga  ofisi za  matawi, vijiji, mitaa na kata ili kurahisisha upatikanaji wa  huduma kwa wanachama wake. Agizo hilo limetolewa...
Share:

Sales and Marketing at SINOTASHIP

Sales and Marketing Position  :   Sales and Marketing Location :   Dares Salaam Start  :   Immediately SINOTASHIP is a shipping based in Dar es Salaam. The company is looking for experienced SALES AND MARKETING personnel to join shipping department team. Responsibilities: Work out sales plans Develop potential clients and acquire bookings Manage customer relationship...
Share:

DC Iringa: "Wanafunzi Wa Kike Msijirahisishe Tupunguze Ukatili"

Na Mwandishi Wetu Iringa Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela amewataka wanafunzi wa kike kutojirahisisha mpaka kupelekea kufanyiwa vitendo vya ukatili dhidi yao. Ameyasema hayo leo mkoani Iringa wakati akiupokea Msafara wa kijinsia wa kutokomeza ukatili wa kijinsia uliposimama mkoani hapo. Ameongeza...
Share:

LIUNDI AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUANDIKA HABARI ZA WANAWAKE WALIOFANIKIWA KATIKA UONGOZI

Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi amewataka Waandishi wa habari nchini kuwapa nafasi kwenye vyombo vya habari wanawake waliofanya vizuri katika masuala ya uongozi ili kuwapa hamasa wanawake wenye nia ya kuwania nafasi za uongozi. Liundi ameyasema hayo, leo...
Share:

Kampuni ya Kuunda Mabasi ya Abiria Yaanzishwa Kibaha

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya BM Motors iliyopo Kibaha mkoani Pwani, imeingia kwenye orodha ya kampuni zinazounda na kutengeneza mabasi ya abiria hapa nchini.  Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Bw. Jonas Nyagawa amesema, karakana hiyo iliyojengwa eneo la Zegereni katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha...
Share:

Tumia Mwika Kujitibu Busha, Nguvu za Kiume

Mwika ni dawa  ya asili ya nguvu za kiume yenye kutibu matatizo kwa wakati mmoja ; (1)Nguvu za kiume (2) Kunenepesha Maumbile (3)Kuchelewe kufika kileleni Yajuwe matatizo yanayosababisha upungufu wa nguvu za kiume (1) Ngiri ya kupanda na kushuka 2.Korondani moja kuvimba 3.Tumbo kuunguruma...
Share:

Job vacancies at CRDB Bank Plc

Background CRDB Bank Plc is an African bank and a leading Financial Services Provider in Tanzania with current presence in Tanzania and Burundi, East Africa. The Bank was established in 1996 and was listed on The Dar Es Salaam Stock exchange (DSE) in June 2009. Over the years, CRDB Bank has grown to become the most innovative and… Read More » The post Job vacancies at CRDB Bank Plc appeared first...
Share:

Supply Chain Officer – Procurement at Danish Refugee Council

Job title: Supply Chain Officer – Procurement Reporting to: Area Manager Location: Kyaka Overall purpose of the role: The main purpose of this position is to procure quality, value for money, goods and services for the field office in conformity with DRC/Donor Guidelines and policies and ensure the field office procurement plans are carried out. KEY DUTIES AND RESPONSIBILITIES… Read More » The...
Share:

WAZIRI UMMY MWALIMU: "TANZANIA HAINA MSHUKIWA WALA MGONJWA WA UGONJWA WA KIRUSI CHA CORONA (COVID - 19)"

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu leo ametoa  taarifa ya mwenendo juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Homa kali ya Mapafu inayosababishwa na virusi vipya jamii ya Corona (COVID - 19) ikiwa ni muendelezo wa taarifa tunazotoa mara kwa mara wakati wa milipuko.  Katika...
Share:

WAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA

KAIMU Mkurugenzi wa Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Amos Maganga kushoto akizungumza wakati wa ziara  kufanya tathimini kuona wakandarasi wamefikia hatua gani mpaka sasa wametembelea kwenye kazi walianzia Mkoani Manyara kijiji cha Terati na wapo mkoa wa Tanga katika wilaya...
Share:

Lipumba: Hatutasusia Uchaguzi Tena....Tutaweka Wagombea Kote Tanzania Bara na Visiwani

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kuwa pamoja na  Demokrasia Kuyumba  nchini lakini hawatasusia uchaguzi mkuu wa 2020, kama ilivyokuwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2019. Prof Lipumba ameyasema hayo leo Februari 29, 2020, wakati wa kuhitimisha...
Share:

Mbogamboga Na Matunda Kupata Soko Katika Nchi Za Ulaya

Makampuni kumi na tano (15) yaliojumuisha wazalishaji pamoja na wasafirishaji wa bidhaa za Mbogamboga na Matunda wajiongezea fursa katika soko la Ulaya kufuatia Ushiriki wao katika Maonesho ya Kimataifa ya Mbogamboga na Matunda yajulikanayo kama Fruit Logistica 2020 yaliyofanyika tarehe 5 hadi 7...
Share:

Kwacha Na Shilingi ya Tanzania Zarasimishwa Mpakani Tunduma Na Nakonde

Benki Kuu ya Tanzania na Benki Kuu ya Zambia zimerasimisha matumizi ya Kwacha ya Zambia na shilingi ya Tanzania kwenye mpaka wa Tunduma na Nakonde ambapo wananchi wataweza kutumia fedha za nchi hizo mbili katika shughuli zao za kila siku za kiuchumi bila kubadilisha. Akizungumza kwenye hafla hio...
Share:

Tanzania Kushirikiana Na Ujerumani Kukabiliana Na Changamoto Zinazoikabili Sekta Ya Uhifadhi Wa Maliasilia Nchini

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Ujerumani katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya uhifadhi wa maliasili hapa nchini kwa lengo la kuiimarisha na kuiendeleza sekta hiyo. Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo...
Share:

Wananchi Washauriwa Kutochakaza Noti Na Sarafu

Gavana  wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Profesa. Frolens Luoga amewashauri wananchi kutumia vyema fedha bila kuziharibu wala kuzichakaza kutokana na ubora na uthamani wa utengenezaji wake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam Prof. Luoga amesema, lazima fedha zitumike...
Share:

DC Njombe Aagiza Kukamatwa Walimu Wafanyao Vitendo Vya Kikatili

Na Mwandishi Wetu Makambako Mkuu wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza kukamatwa kwa walimu mkoani Njombe watakaobainika kuwafanyia vitendo vya kikatiki wanafunzi ili kukomesha vitendo hivyo vinavyoendelea kutoka nchini. Hayo yamebainika jana Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger