Saturday 26 November 2016

Rais wa Zamani wa Cuba, Fidel Castro Afariki Dunia

...

CUBA: Rais wa zamani wa Cuba, na kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha nchini humo, Fidel Alejandro Castro Ruz amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 90.

Kifo cha Castro kimetangazwa kwenye Televisheni ya Taifa na Rais wa sasa wa nchi hiyo ambaye ni mdogo wa marehemu, Raul Castro.

Castro alichukua madaraka ya nchi hiyo baada ya kufanya mapinduzi mnamo mwaka 1959 na kuiongoza Cuba kwa miaka 49, kabla ya kuachia ngazi February 2008 na kumkabidhi uongozi mdogo wake, Raul Castro kufuatia kuugua kwa muda mrefu.

Miaka miwili kabla, mdogo wake , Raul alishikila madaraka ya kaka yake wakati kaka yake alipofanyiwa upasuaji wa dharula wa utumbo mpana.

CHANZO: BBC NEWS

Baada ya Malkia Elizabeth II na Mfalme wa Thailand, kiongozi huyo wa Cuba ni wa tatu duniani kwa kukaa madarakani kwa muda murefu zaidi.

Wafuasi wake wamekuwa wakiamini kuwa, Castro ndiye aliyeirudisha Cuba kwa wananchi wake huku wapinzani wakipinga uongozi wake wa kimabavu.

Obituary: Fidel Castro

In April, Fidel Castro gave a rare speech on the final day of the country’s Communist Party congress.

He acknowledged his advanced age but said Cuban communist concepts were still valid and the Cuban people “will be victorious”.

“I’ll soon be 90,” the former president said, adding that this was “something I’d never imagined”.

“Soon I’ll be like all the others, “to all our turn must come,” Fidel Castro said.

Fidel Castro’s key dates

1926: Born in the south-eastern Oriente Province of Cuba

1953: Imprisoned after leading an unsuccessful rising against Batista’s regime

1955: Released from prison under an amnesty deal

1956: With Che Guevara, begins a guerrilla war against the government

1959: Defeats Batista, sworn in as prime minister of Cuba

1960: Fights off CIA-sponsored Bay of Pigs invasion by Cuban exiles

1962: Sparks Cuban missile crisis by agreeing that USSR can deploy nuclear missiles in Cuba

1976: Elected president by Cuba’s National Assembly

1992: Reaches an agreement with US over Cuban refugees

2008: Stands down as president of Cuba due to health issues

Source: Global Publisher
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger