Wednesday, 30 November 2016

Tanzia: RPC Singida afariki dunia

x Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, SACP Peter Kakamba, amefariki dunia  usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua maradhi ya tumbo, Jeshi la Polisi limethibitisha. Akizungumza na Mwananchi Digital, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Mayala Towo amesema Kamanda Kakamba amefia hospitali...
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2017

   Kwa majina; MKOA WA ARUSHA  >>BONYEZA HAPA<< TUNAENDELEA KUONGEZA MIKOA,TEMBELEA BAADA YA MDA MFUPI MASWAYETU BLOG TEAM! ...
Share:

Ajali ya Gari Yaua Watu 6 rukwa

Watu  sita wakiwamo mfungwa na wanafunzi wamekufa huku wengine wanane...
Share:

Magazeti ya Leo Jumatano NOV 30 2016

...
Share:

FAHAMU JINSI FEDHA ZA TETEMEKO LA ARDHI MKOANI KAGERA ZILIVYOTUMIKA

Ndugu zangu kama ambavyo tunakumbuka Tarehe 10/09/2016 majira ya saa 9 na dakika 27 Alasiri maeneo ya Kanda ya ziwa hasa Mkoani Kagera kulitokea tetemeko la ardhi linalokadiriwa kuwa na ukubwa wa 5.9 katika vipimo vya Richter ambapo Kitovu cha...
Share:

HIZI HAPA KURASA ZA NDANI ZA MAGAZETI YA LEO JUMATANO NOVEMBER TAREHE 30.11.2016

TANO BORA ZA Maswayetu Blog KWENYE HABARI ZA MICHEZO LEO.. ...
Share:

Tuesday, 29 November 2016

Ndege iliyokuwa imebeba wachezaji wa klabu ya soka ya Brazil imeanguka

Ndege iliyobeba watu 81 wakiwemo wachezaji wa klabu ya soka ya Chapecoense kutoka Brazil imeanguka wakati ikikaribia kutua katika mji wa Medellin nchini Colombia, mamlaka zathibitisha. Taarifa kutoka eneo la tukio zinaarifu kuwa watu 76 wamefariki dunia huku watano wakipona. Maofisa ...
Share:

Batch 9 Allocations for the 2016-2017 SUA Continuing Freshers Students Receiving Loan from HESLB

Click link to Download >>Batch 9 Allocations for the 2016-2017 SUA Continuing Freshers Students Receiving Loan from HESLB ...
Share:

ASILIMIA 95 YA DARASA LA SABA WAENDA SEKONDARI, 28,638 WAKOSA SHULE 2017

WANAFUNZI 526,653 sawa na asilimia 94.8 ya waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka huu, wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani katika shule za sekondari za serikali katika awamu ya kwanza huku 28,638 wakishindwa kupangiwa shule katika awamu ya kwanza. Kati ya wanafunzi...
Share:

Breaking News:HAYA HAPA MAJINA ZAIDI YA 25000 YA WANAFUNZI FORM 6 WALIOCHAGULIWA KWA MUJIBU WA SHERIA KUJIUNGA VIKOSI MBALIMBALI VYA JKT AWAMU YA PILI 2016

Kama utahitaji kuangaliziwa jina lako/AU la ndugu yako kwa "usahihi" na "kasi ya ajabu" (ambapo utajibiwa ndani ya mda mfupi) kama umechaguliwa kujiunga na jkt na kambi uliyopangwa. tafadhali fanya yafuatay...
Share:

HIZI HAPA KURASA ZA MAGAZETI YA LEO JUMANNE NOV 29 2016

KURASA ZA MICHEZO LEO ...
Share:

SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU WANAFUNZI WA DIPLOMA KUTOKWENDA DIGRII CHUO KIKUU

    WIZARA ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imetoa ufafanuzi kwamba haijapiga marufuku watu wenye Stashahada wenye sifa kujiunga na vyuo vikuu badala yake...
Share:

Wizara ya Elimu imekanusha kuhusu kuzuia wenye Diploma kwenda chuo kikuu

...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE NOVEMBER TAREHE 29.11.2016

...
Share:

Monday, 28 November 2016

Rais Magufuli Apokea Marais Wawili Ikulu Jijini Dar es Salaam

...
Share:

Picha: Makonda Atinga 'Uwanja wa Fisi' Wanapojiuza Madada poa,Atangaza kuvunja nyumba zote

...
Share:

SERIKALI Yapiga Marufuku Kusoma Degree Bila Kupita Form Six

Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Pro.Joyce Ndalichako amepiga marufuku wanafunzi kujiunga na masomo ya Shahada (degree) bila kupita kidato cha sita. Marufuku hiyo itaanza rasmi katikals mwaka ujao wa masomo. Prof.Ndalichako emesema mfumo wa elimu huria umechangia kuzalisha wasomi...
Share:

RAIS Magufuli Ampongeza Paul Makonda

RAIS John Magufuli amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa juhudi za kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Magufuli ametoa kauli hiyo jana wakati akizungumza na Mkuu huyo wa Mkoa huo kwa njia ya simu wakati Makonda akiendelea na mkutano wa hadhara katika eneo la Mbezi...
Share:

MTOTO WA MIAKA 11 ATUNUKIWA PHD TANZANIA

WAHITIMU, viongozi na wageni waliohudhuria Mahafali ya 32 ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) mkoani Morogoro, waliingiwa na simanzi wakati mtoto, Tamar Aaron Mbogho (11), alipojitokeza na kupokea Shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD), akimwakilisha mama yake Swai Sophia Faustin ambaye...
Share:

KURASA ZA NDANI MAGAZETI YA LEO JUMATATU NOV 28 2016

...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU NOVEMBER TAREHE 28.11.2016

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger