Thursday, 31 March 2016

TAARIFA KUTOKA TAMISEMI KUHUSU KUAJIRI/KUTOKUAJIRI WASOMI WENYE CHETI ZAIDI YA KIMOJA'ELIMU YA KUUNGA UNGA"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI MARCH TAREHE 31/3/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Magazeti Ya Leo Alhamisi ya March 31, 2016 ...
Share:

Wednesday, 30 March 2016

DOWNLOAD YAMOTO BAND - NIGANDE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY New AUDIO | YAMOTO BAND - NIGANDE | Download DOWNLOAD via HULKSHARE...
Share:

HAYA HAPA MAJINA NA IDADI KAMILI YA WATUMISHI HEWA MIKOA YOTE TANZANIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY HATIMAYE wakuu wa Mikoa yote nchini wametii agizo la Rais John Magufuli lilokuwa linawataka wasilishe ripoti ya idadi ya watumishi hewa kwenye mikoa husika. Wakuu hao wa mikoa wapya wamewasilisha ripoti za watumishi hao leo Jijini Dar es Salaam,Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Georgy Simbachawene ili kuchukuliwa hatua za kisheria ...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO MARCH 30 2016

...
Share:

Tuesday, 29 March 2016

Mpya Kuhusu Ajira za Walimu na Nyinginezo...Wenye Vyeti Zaidi ya Kimoja Kutopangiwa Kituo cha Kazi Serikalini.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY KUNA TAARIFA ZINAENEA KWA KASI MITANDAONI KUHUSU SERIKALI KUTO KUWAPOKEA WASOMI WENYE CHETI ZAIDI YA KIMOJA KATIKA AJIRA..UJUMBE WENYEWE UNAMUHUSISHA WAZIRI SIMBACHAWENE NA UKISOMEKA HIVI:- Waziri Simbachawene ametoa tamko la serikali kuwa , Serikali ya Jamhuri Ya...
Share:

Rais Magufuli Akabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Rais John Magufuli, ambaye amejipa kazi ya “kutumbua majipu”, sasa anaweza kufanya kazi yake vizuri zaidi baada ya kukabidhiwa ripoti tano na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ambazo anaweza kuzitumia kama kitendea kazi. Tangu aingie Ikulu, Rais...
Share:

Vigogo Wawili Maliasili Waliotoa Vibali vya Kusafirisha Tumbili Watiwa Mbaroni

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kikosi kazi maalumu cha kuchunguza makosa makubwa ya kihalifu kimewatia mbaroni vigogo wawili wa Wizara ya Maliasili na Utalii, wakihusishwa na utoaji wa kibali cha kusafirisha tumbili 61 kwenda nchini Albania. Maofisa hao ni Mkurugenzi wa Idara ya Matumizi Endelevu...
Share:

Dk Shein amteua Balozi Seif Ali Idd Kuwa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein amemteua Balozi Seif Ali Idd kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa visiwa hivyo. Kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 39 (2) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, Dk Shein amemteua Balozi Idd...
Share:

Picha na WEMA SEPETU akiwa katika Instagram Party Mwanza

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Usiku wa tarehe 27, ulipambwa na Show ya Instagram Party kwa upande wa Mwanza 88.1, mastaa kadhaa wa Tanzania walikuwepo kunogesha Party kutoka Bongo movie Wema Sepetu, alikuwepo na kundi la Weusi liliwakilishwa na Joh Makini pamoja G nako.Party imefanyika Rock City...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger