Saturday 28 February 2015

BREAKING NEWS : CAPT.JOHN KOMBA HAS PASSED AWAY-MASWAYETU BLOG

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Saturday, February 28, 2015
Kapteni John Komba akitumbuiza enzi za uhai wake kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma.


Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Kapteni John Komba amefariki dunia katika Hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam.
Mpaka kufa kwake Kapteni John Komba alikuwa Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmasauri Kuu ya CCM Taifa na Kiongozi wa bendi ya TOT.

"Bwana alitoa, Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe"
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger