Anafahamika
zaidi kama Rose Ndauka ni mmoja warembo wenye mvuto wa pekee ndani ya
tasnia ya bongo movies kwa vipaji vyake vingi sana.
Licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuigiza pia rose ni mwandishi na mwongozaji wa Filamu.
Akiwa ameshaigiza kwenye zaidi ya Filamu kumi na saba (17) na kupata tuzo mbalimbali ikiwemo ya best actress in mini ziff 2011; Rose Pia ni mfanyabishara na anamiliki kampuni yake binafsi iitwayo Ndauka Entertainment inayojihusha na mambo ya Filamu na burudani.
Licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuigiza pia rose ni mwandishi na mwongozaji wa Filamu.
Akiwa ameshaigiza kwenye zaidi ya Filamu kumi na saba (17) na kupata tuzo mbalimbali ikiwemo ya best actress in mini ziff 2011; Rose Pia ni mfanyabishara na anamiliki kampuni yake binafsi iitwayo Ndauka Entertainment inayojihusha na mambo ya Filamu na burudani.






BARAZA la Maadili ya Viongozi wa Umma, limemsomea rasmi mashitaka
aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna
Tibaijuka (pichani), na kubainisha kuwa kiongozi huyo anastahili kujibu
mashitaka kwa kosa la kuomba na kujipatia fedha kinyume na Sheria ya
Maadili ya Viongozi wa Umma.















