Saturday, 29 July 2023

Tazama Picha : MWENGE WA UHURU UKITOKA SHINYANGA MJINI

Tazama picha Mwenge wa Uhuru ukitoka Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kwenda Halmashauri ya Shinyanga leo Jumamosi Julai 29,2023 - Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog ...
Share:

MBUNGE JASON RWEIKIZA ATAKA WATANZANIA WAJIANDAE KUCHANGAMKIA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Na Mariam Kagenda _ Kagera Mbunge wa jimbo la Bukoba Vijijini Jason Rweikiza amewataka wananchi kujiandaa kwa ajili ya kuchangamkia bima ya afya kwa wote itakapoanza. Dkt Rweikiza ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa kata ya Buhendangabo baada ya diwani wa kata hiyo Teophily Elieza...
Share:

WAZIRI MKENDA:TURUDISHE HUDUMA ZA MAKTABA KATIKA NGAZI ZA WILAYA NA TARAFA

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akisoma  kitabu mara baada ya kutembelea Maktaba ya Taifa  jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameutaka uongozi wa Bodi ya Huduma za Maktaba kutoendelea na ujenzi...
Share:

MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MASENGWA II, RUWASA WAPONGEZWA

Mmoja wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa akishuka kwenye tangi la Maji lililopo Ishinabulandi kata ya Samuye katika Mradi wa Maji Masengwa awamu ya pili kata ya Masengwa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2023,...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger