Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo akizungumza wakati alipozindua zoezi la wanachama,wapenzi na mashabiki wa timu ya Simba kuchangia damu katika Zahanati ya Kisosora Jijini Tanga kulia ni Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Mkoa wa Tanga Edgar Mdime
Mganga Mkuu wa...
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Ziwa limeshiriki maonesho ya wakulima Nanenane 2023 katika uwanja wa Nyamhongolo jijini Mwanza, kwa lengo la kutoa elimu kwa wadau na wananchi kuhusu udhibiti na ubora wa bidhaa mbalimbali.
Meneja TBS Kanda ya Ziwa, Happy Brown Kanyeka amesema shirika hilo...
Na Alex Sonna-SINGIDA
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA), imetaja mikakati yake ya kuimarisha upatikanaji wa maji na uondoshaji wa majitaka ikiwamo kutekelezwa kwa mradi wa maji wa Miji 28 unaogharimu Sh.Bilioni 45.
Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 5, 2023 mjini...
Michezo ya Virtual ni michezo ambayo inapatikana ndani ya Meridianbet ipo mingi sana na huchezwa kwa dakika chache na kukupatia pesa kwa muda mfupi sana yani bila kupoteza muda wako kutokana na mchezo uliouchagua.
Michezo ya Virtual safari hii imekuja na bonasi ambayo itatoka siku...