Saturday, 5 August 2023

Picha : SHINYANGA WAADHIMISHA SIKU YA LISHE NA WIKI YA UNYONYESHAJI, RC MNDEME ASISITIZA ZIWA LA MAMA NI UHAI WA MTOTO

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka akina mama kuhakikisha wanawanyonyesha watoto wao mara kwa mara kadri wanavyotaka huku akisisitiza kuwa kunyonyesha maziwa ya mama pekee miezi sita ya mwanzo ya maisha ya mtoto ndiyo njia bora na salama...
Share:

TUME YATANGAZA UCHAGUZI MDOGO WA MBARALI NA KATA SITA

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ramadhani Kailima akizungumza leo Agosti 5,2023 wakati akitoa taarifa uwepo wa Uchaguzi mdogo katika Jimbo la Mbarali Mkoani Mbeya na Kata sita za Tanzania bara. Taarifa hiyo ameitoa jijini Dodoma baada ya kikao cha Tume kilichokutana leo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger