Wednesday, 19 January 2022
WASIOJULIKANA WAFUKUA KABURI NA KUTOWEKA NA MWILI WA MAREHEMU

AWAMU YA SITA YANG'ARISHA SINGIDA MASHARIKI
Tuesday, 18 January 2022
RAIS SAMIA ATEUA VIONGOZI WAWILI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bw. Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Kabla ya uteuzi huo, Bw. Mcha alikuwa Kamishna wa Udhibiti na Utekelezaji (Control and Enforcement), Makao Makuu ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Bw. Mcha anachukua nafasi ya Bw. Msafiri Lameck Mbibo ambaye ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Madini.
Uteuzi huu umeanza tarehe 5 Desemba, 2021.
Aidha, Mhe. Rais Samia amemteua Balozi Celestine Joseph Mushy kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Austria.
Balozi Mushy alikuwa Katibu Tawala Msaidizi, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.
Uteuzi huu umeanza tarehe 14 Januari, 2022.
Jaffar Haniu
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.
KIUNGO MNIGERIA ASEPA SIMBA


Monday, 17 January 2022
BODI YA FILAMU KUENDELEZA FURSA ZA KUWAINUA WASANII- WAZIRI MCHENGERWA
BIBI ATAMANI KUZAA MTOTO NA KIJANA WA MIAKA 24





























