Friday, 21 May 2021

Advisor at GIZ

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

As an international cooperation enterprise for sustainable development with worldwide oper­ations, the federally owned Deutsche Gesellschaft fuer Internationale Zusammenar- beit (GIZ) GmbH supports the German Government in achieving its development-poli­cy objectives. BACKUP Health is mandated to support governmental and civil society partners to leverage funding from global (health) financing mechanisms for the strengthening of their […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Manager Electrical at dangote

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Description Installation , testing , operation & maintenance of electrical equipment with optimum quality & safety Responsible for trouble free operation of electrical equipment of assigned area. Spare management for smooth plant operation. Daily job allocation & technical guidance to subordinates. Responsible for compliance of safety measures Responsible for housekeeping of his/her work area. Execution […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Senior Manager, Instrumentation at dangote

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Description Key Duties and Responsibilities Performs all work order maintenance, troubleshooting, and calibration of plant DCS/PLC issues as directed. Troubleshooting of H&B Packing plant equipment’s, Auto packer and Auto loader machines. Troubleshooting of Robo Lab, Physical and Chemical lab & Special lab. Troubleshooting, Inspection, testing, maintenance, repair, and calibration of all Instruments and microprocessor-based control […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Workshop Admin Officer – Help Desk at dangote

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Description Key Duties and Responsibilities Performing administrative tasks Monitoring staff performance and attendance Overseeing employee health and safety procedures Organizing and managing new employee orientation, on-boarding, and training programs Ensuring that all employees are organized and satisfied in their work environment Covering all legal compliance for Human Resource federal and state requirements Maintaining employee’s records […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 21,2021
















Share:

Thursday, 20 May 2021

MCHEPUKO AMUUA MME WA MTU BAADA YA KUNOGEWA PENZI LA MKEWE

 

Na Andrew Chatwanga,Songea. 

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Bw. Alfred Nombo (28) kwa kosa la kuumuwa Bw. Erasto Nchimbi (28) mkazi wa Kijiji cha Sara wilayani Mbinga kwa kumchoma na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Simon Maigwa amewaambia waandishi wa habari leo kuwa tukio hilo limetokea Mei 19 mwaka huu majira ya saa 4 asubuhi.

Alisema kuwa Nombo alikuwa na wivu wa kimapenzi kwa mke wa Nchimbi na kuamua kumuua kwa kumchoma na kisu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake.

Kamanda Maigwa alisema kuwa Bw. Nombo alinogewa na mapenzi ya mke wa marehemu Nchimbi kiasi cha kupelekea kuvunja ndoa yao  na wivu uliomfanya afanye maamuzi ya kumuuwa mwenye mke ili apate nafasi ya kuwa huru na mke wa Bw. Nchimbi.

Aidha Kamanda Maigwa ametoa wito kwa watu wenye uhasama kupeleka matatizo yao katika vyombo vya usuluhishi badala ya kujichukulia maamuzi ambayo yanagharimu maisha ya watu na kuishia jela.

Wakati huo huo Kamanda Maigwa ameelezea uchunguzi wa tukio la mwananfunzi aliyejinyonga kwa kutumia kamba ya manila Sophia Mbano (19)mwananfunzi wa kidato cha tano katika sekondari wa wasichana ya St. Agnes Peramiho chanzo kimebainika kuwa ni msongo wa Mawazo ambao umepelekea kifo chake.


Share:

DIAMOND PLATNUMZ AIKOSOA FORBES ORODHA YA WANAMUZIKI MATAJIRI.... 'YA KIJINGA'

Diamond Platnumz amekasirishwa na orodha ya wanamuziki matajiri alioitaja kuwa ‘ya kijinga’.

Mwanamuziki huyo ambaye ni mmoja wa nyota wa muziki Afrika amekosoa orodha hiyo ya Forbes iliyotolewa hivi karibuni ikiwaonesha wanamuziki tajiri wa bara hili na kumuweka katika nafasi ya 20.

‘’Wakati mwengine nitafuteni katika Google ili kujua thamani yangu’’, Diamond aliandika katika mtandao wake wa Instagram ‘’kabla ya kuniweka katika orodha yenu ya matajiri !

Nyota huyo wa muziki nchini Tanzania mwaka uliopita alikuwa mwanamuziki wa kwanza katika jangwa la Sahara kufikisha watazamaji bilioni moja katika mtandao wa YouTube.

Ijapokuwa anapinga thamani yake kuwa $5.1m, yeye mwenyewe hajaitangaza hadharani.

BBC imewasiliana na usimamizi wa Diamond ili kupata tamko.

Siku ya Jumanne msanii huyo ambaye ni namba moja Afrika Mashariki, na Rais wa WCB Wasafi, aliandika historia nyingine tena baada ya kutia saini mkataba na kampuni ya muziki ya Afrika Kusini, Warner Music.

Mkataba huo mpya utahakikisha kuwa WCB Wasafi imejumuishwa katika Warner Music Afrika Kusini na Ziiki Media, wakati mtandao wa Warner Music ukisaidia kumfanya Diamond Platnumz na wasanii wa lebo hiyo kupanda hadhira ya ulimwengu.

Diamond Platnumz ni mmoja wa wasanii waliofaulu zaidi Afrika, akiwa ameachia nyimbo zaidi ya 30, ukurasa wake wa YouTube ukiwa na zaidi ya mashabiki milioni tano waliojisajili, na pia ana zaidi ya wafuasi wa Instagram milioni 12.

Diamond Platnumz alianzisha WCB Wasafi na kuibadilisha kuwa moja ya lebo kuu barani Afrika, ikiwa imesajili wasanii wenye mafanikio makubwa kama vile Lava Lava, Mbosso, Rayvanny na Zuchu.

Kwenye mkataba huu mpya wa kimkakati, Warner Music, Diamond Platnumz, Ziiki Media na wasanii wa WCB Wasafi watashirikiana kwenye matoleo mapya, albamu zao, pamoja na mikataba ya moja kwa moja na kampuni za biashara.

Warner Music imewahi kufanya kazi na zaidi ya wasanii 6,500, akiwemo Master KG wa Afrika Kusini anayetambulika kwa wimbo wake Jerusalema, Burna Boy na Sho Madjozi.

Diamond Platnumz ni mmoja wa wasanii waliofaulu zaidi Afrika.

CHANZO - BBC SWAHILI
Share:

Maintenance Planner at Coca-Cola Kwanza (Tanzania)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Reference Number CCB210519-2 Job Title Maintenance Planner Function Manufacturing Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type Permanent Location – Country Tanzania Location – Province Not Applicable Location – Town / City Dar es Salaam   Job Description Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting opportunity in Manufacturing Department. We are looking for a talented individual with the […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

🔴LIVE: Rais Samia na Rais Museveni wakishuhudia utiaji saini bomba la mafuta ghafi,Mei 20, 2021.

 🔴LIVE: Rais Samia na Rais Museveni wakishuhudia utiaji saini bomba la mafuta ghafi,Mei 20, 2021.



Share:

Ntobo Mik 1....Ni Dawa Ya Asili ya Vidonda Vya Tumbo Iliyofanyiwa Utafiti Kwa Miaka Mingi


 NTOBO MIK 1
Ni Dawa ya vidonda vya tumbo iliyofanyiwa utafiti kwa miaka mingi  mwanga wa matumaini kwa wanao teseka na Vidonda vya Tumbo.

Huwezi kuzungumzia magonjwa yanayotesa Jamii ya watu wengi Duniani bila kuzungumzia Vidonda vya Tumbo.

Ugonjwa huu husababishwa na aina ya bakteria anayeitwa kwa jina la HP (Helicobacter Palory) mtu hujikuta anateseka na maumivu makali ya Tumbo bila kujuwa kuwa ni vidonda vya tumbo

DALILI ZAKE:
1.     Tumbo kuwaka moto
2.     Tumbo kujaa gesi au haja kubwa kuwa ngumu
3.     Kutokupata choo vizuri
4.     Kiungulia cha mara kwa mara
5.     Kichwa kuuma
6.     Maumivu makali ya tumbo lajuu wengi huuita chembe ya moyo
7.     Kukosa hamu ya kula
8.     Kizunguzungu
9.     Kichefu chefu

Ugonjwa huu ukishamili sana mgonjwa hujikuta anatapika damu au kujisaidia choo chenye mchanganyiko na damu.

Nini suluhisho;
BABU MADUHU MTAALAMU MWENYE UWEZO MKUBWA WA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO
BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL KITUO CHA KANISANI
PIGA SIMU NO. 0755 684 297/ +255 652 102 152 (WHATSAPP)

 




Share:

SUPER – NHESHA: Dawa Bora Ya Kutibu Tatizo La Kisukari


SUPER – NHESHA
Ni dawa ya kutibu tatizo la sukari au jina la kitaalamu (Diabetes Mellitus) ni kundi la magonjwa yanayohusiana na ufanyaji kazi wa mwili ambapo Mtu anakuwa na kiwango kikubwa cha sukari aina ya Glucose katika mwili kutokana na mwili wake kukosa uwezo wa kutengeneza Insulin ya kutosha au seli za mwili wake kutumia insulin iliyopo au pengine mwili kuwa na matatizo yote kwa pamoja na kupelekea mgonjwa wa sukari kupata haja ndogo mara kwa mara (Polyuria) uhisi kiu kila wakati (Polydipsia) Na (Polyphagia).


AINA YA KISUKARI
Kuna aina chache tofauti za ugonjwa wa kisukari (1) ni ugonjwa wa Auto hii aina mgonjwa wa Auto hushambulia mfumo wa kinga na kuharibu seli katika kongosho ambako insulin huzalishwa asilimia 10% ya watu wenye ungonjwa wa kisukari wanayo aina hii (Auto).


AINA YA PILI
Hii hutokea wakati mwili wako unakuwa sugu kwa insulin na sukari hujenga katika damu yako hii husababishwa na kuwa na sukari nyingi kwenye damu yako kuliko kawaida.


CHANZO CHA UGONJWA SUKARI
Viko vyanzo vingi mbalimbali vya sukari
1.     Shinikizo la damu (B.P)
2.     Viwango vya juu vya triglyceride (mafuta)
3.     Lishe yenye mafuta mengi na wanga
4.     Utumiaji mkubwa wa pombe kupita kiasi
5.     Ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi
6.     Mtindo wa maisha usiofaa kiafya
7.     Uzito na unene uliozidi
8.     Kutofanya mazoezi
9.     Umri
10.     Kurith


UNAJUAJE KUWA UNADALILI ZA KISUKARI
1.     Kusikia njaa mara kwa mara
2.     Kusikia kiu mara kwa mara
3.     Kupungua uzito
4.     Maono machafu
5.     Uchovu mara kwa mara
6.     Ukipata kidonda hakiponi
7.     Kushuka kwa kinga mwili


DALILI ZA KISUKARI KWA MWANAUME
Mbali na dalili za jumla za ugonjwa wa sukari wanaume wenye tatizo hilo wanakuwa na upungufu wa nguvu za kiume na kushindwa kufanya tendo la ndoa uume hushindwa kusimama misuri hulegea na kusinyaa, maumivu ya mgongo, kiuno, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kupata choo  kama cha mbuzi


DALILI ZA WANAWAKE
Wanawake wenye ugonjwa wa sukari wanaweza pia kuwa na dalili kama vile maambukizi kwa njia ya mkojo (U.T.I) maambukizi  ya gonzi kukakamaa


TIBA YA MAGONJWA YA SUKARI
Ugonjwa wa sukari unatibika bila kujali ni mda gani umepata hilo tatizo wengi wamekata tama na kuwa wabishi amini tatizo hili linatibika vizuri sana wengi wemepona.


Tumia dawa ya SUPER-NHESHAambayo ni dawa ya miti shamba yaani (asilia) ambayo humfanya mtu kupona na kuimalika kabisa.


Tutakuelekeza pia mfumo wa mtindo wa maisha utakao takiwa kutumia ili kutoluhusu tatizo hilo kurudi tena.


BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO/KANISANI NJIA PANDA YA KWENDA SINZA  SIMU: 0652 102 152/0788 330 105/ 0755 684 297 NYOTE MNAKARIBISHWA PIA TUNATUMA MIKOANI WHATAPPS NO 0652 102 152 



Share:

Tanzia: MBUNGE KHATIB HAJI AFARIKI DUNIA


 Mbunge wa Jimbo la Konde (ACT-Wazalendo) Khatib Said Haji, amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu


 


Share:

WAZIRI MKUU ATAKA HATUA ZAIDI ZICHUKULIWE WALIOZINGUA MFUMO WA LUKU.... "WAKAE PEMBENI..UCHUNGUZI UFANYIKE"


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemuagiza Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani asiishie kuwasimamisha kwa siku kumi tu meneja wa TEHAMA na wasaidizi wake, bali wakae pembeni hadi hapo uchunguzi zaidi utakapokamilika.

Ametoa agizo hilo leo Mei 20, 2021 alipozungumza na Menejementi na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwenye makao makuu ya zamani Shirika hilo jijini Dar es Salaam.

“Lazima tufundishane kuwa makini, kila siku lazima tukague vifaa vyetu ili huduma ipatikane muda wote. Hakuna kuwasimamisha kwa siku 10, wakae pembeni hadi timu inayochunguza itakapotoa matokeo.  Inawezekana sio wao tu, Waziri endelea na uchunguzi”

Aidha, Waziri Mkuu ameliagiza shirika hilo kuhakikisha wanakuwa na mfumo wa dharura ‘backup’ utakaotumika pindi kunapotokea changamoto za kimfumo

“Mmetengeneza usumbufu mkubwa sana, mlijua lazima kuwe na backup lakini hakuna, toka pale tulipoanza kutoa huduma mpaka leo kwanini hakuna backup, hilo ni jukumu lenu”

Amesema kuwa Serikali inataka kuona huduma hii inapatikana muda wote. “Jitihada za Serikali kuimarisha vyanzo vya umeme zina lengo la kuhakikisha tunapata umeme mwingi na wa gharama nafuu".

Naye, Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amesema hakuridhishwa na watendaji wanaosimamia mfumo na amewaomba radhi watanzania kwa usumbufu uliojitokeza.

Pia amesema amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Nishati aunde kikosi kazi maalum kwa ajili kuupitia upya mfumo

 (mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU


Share:

MBUZI 17 WATAFUNWA NA FISI LUBAGA..AFISA MIFUGO ATEKETEZA MABAKI YA NYAMA KWA MOTO

Wakazi wa Kata ya Lubaga halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mkoani Shinyanga wameiomba serikali kuwasaidia kutatua changamoto ya uwepo wa wanyama aina ya  fisi kwenye maeneo yao baada ya fisi hao kuvamia zizi na kuua mbuzi 17 na kondoo katika familia ya Monica Paul mkazi wa mtaa wa Azimio kata ya Lubaga.

Ndugu wa familia ya Monica Paul wameiambia Malunde 1 blog kuwa ilikuwa majira ya saa kumi usiku wa kuamkia Jumatano Mei 19,2021 ndipo waliposikia mlio wa fisi hali iliyo walazimu kutoka nje na baada ya kutoka nje ndipo walipogundua kuwa mbuzi wa wameliwa na fisi hao.

Wakazi wa eneo hilo wamesema kuwa kwa sasa fisi hao wamekuwa wakionekana mara kwa mara katika maeneo yao tofauti na ilivyokuwa siku za nyuma.

Diwani wa kata ya Lubaga Reuben Dotto ameeleza kuwa  changamoto ya uwepo wa fisi kwenye maeneo yao imesababisha hofu kwa wananchi na kusababisha baadhi ya wanafunzi kushindwa kuhudhuria shuleni mapema wakihofia kuumwa na fisi

Afisa mifugo wa kata ya Lubaga Eliaremisa Mbise amethibitisha
 kutokea kwa tukio hilo na kuagiza wakazi wa kata hiyo kuteketeza kwa moto  masalia ya mbuzi waliouawa na fisi ili kuzuia athari zinazoweza kujitokeza kutokana na baadhi ya wakazi wa eneo hilo kula mbuzi walioliwa na fisi.

Mbuzi akiwa ameuawa na fisi
mabaki ya mbuzi
Mabaki ya nyama yakiteketezwa kwa moto

Share:

INSPIRE TANGA YAIBUA MAAJABU YA UCHUMI WA KIDIGITALI KUPITIA UBUNIFU WA CHUPA YA CHAI KATIKA WIKI YA UBUNIFU

 Abdul Athumani akiwa na kifaa chake
Kijana Nzuri Bin Nzuri akiwa na kifaa chake

Ikiwa ni wiki ya ubunifu, Shirika la Masuala ya Sayansi la Inspire limeibua wabunifu mkoani Tanga ambao wakitumika vizuri wataleta Mapinduzi ya kisayansi ya uchumi wa kidigitali katika sekta ya viwanda na kilimo mkoani Tanga.

Fursa za wabunifu na ubunifu zimebainika katika ufunguzi wa wiki ya maonyesho ya bidhaa za ubunifu yanayoendea katika viwanja vya kisosora jijini Tanga, ambapo kijana Nzuri Bin Nzuri wa Kijiji cha Gombero jijini Tanga ameibuka nyota katika tukio hilo kwa kuweza kubuni kifaa cha chupa ya chai chenye uwezo wa kuchaji simu, komputa, kusikiliza redio, kutazama Tv na kuwasha Taa.

Wakati Nzuri anafanya Mapinduzi ya sayansi ya digitali ya uchumi wa viwanda Abdul Athumani yeye amepata muarobaini kwa sekta ya kilimo na kuwa mkombozi wa wakulima kupitia kifaa chake chenye utambuzi wa kujua aina ya udongo, mimea inayostawi, mahitaji katika utunzaji wa mazao na upatikanaji wa masomo.

Meneja wa kituo cha Sayansi cha Kisosora jijini Tanga Gibson Kawago amesema lengo la maonesho hayo ni kuibua wabunifu, kuchochea vipaji vyao na kuvilea kwa nia ya kupata wataalamu, wanasayansi na wabunifu watakaojiinua kiuchumi katika mazingira wanayoishi kupitia ubunifu wao kwa maslahi mapana ya jamii na Taifa kwa ujumla.

Akifungua maonesho hayo mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa amehimiza kujiwekeza katika ubunifu wa kiuchumi wa kidigitali ili kwenda sambamba na mabadiliko ya kidunia ambayo yanaleta maendeleo endelevu kama ilivyo kwa simu za mikononi, huku akichagua Shirika la hilo kutembelewa na mbio za mwenge kwa namna linavyochangia kukua kwa vipaji na uchumi wa mkoa wa Tanga

Kauli mbiu ya wiki ya ubunifu ni "ubunifu kwa uchumi wa kidigitali stahimilivu na jumuishi" -  changia kukua kwa vipaji na uchumi wa mkoa huu .

Share:

Human Resources Business Partner- Highland Zone at CRDB Bank

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

Job Summary To provide HR Solutions to a portfolio of business Units and be the principle point of contact with both Senior Leadership and Zonal Management for HR related issues. Key responsibilities: Talent Acquisition: With the support of Head HRBP Planning for talent acquisition in close conjunction with the corporate team for existing and new […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:

Manager : Data Centre and Network Facility Operations at Vodacom

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content

At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers us to achieve this. We challenge and innovate in order to connect people, businesses, and communities across the world. Delighting our customers and earning […]

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger