Monday, 6 April 2020
Sekta mbalimbali zinavyoshirikiana katika kupambana na Coronavirus
Tanzania nako hali ni hiyo hiyo. Hatua mbalimbali zimechukuliwa kupunguza mikusanyiko mfano kufunga mashule na kuzuia mikutano ya hadhara na michezo. Hata watu binafsi nao wanabadili mwenendo wao wa maisha kuwa kupunguza idadi ya watu wanaokutana nao.
Sekta ya biashara nayo vivyo hivyo. Baadhi ya hoteli zimesimamisha huduma kwa muda kupunguza uwezekano wa maambukizi huku sekta ya kilimo ikizidisha nguvu kuhakikisha chakula kinapatikana. Ama kwa hakika, ugonjwa huu umeonyesha namna sekta mbalimbali zimejiunga pamoja kukabiliana na adui na uzoefu huu utasaidia sana ziku zijazo hasa katika kufanya maamuzi ya kijamii na kibiashara.
Kwa mfano inafahamika wazi kwamba kampuni ya Tigo nchini Tanzania iko katika hatua za kuorodhesha hisa zake katika Soko la Hisa la Dar es Salaam baadaye mwaka huu jambo ambalo lingewezesha umma kununua hisa hizo, swali linabaki kwamba, mlipuko huu wa ugonjwa huu utalazimu kuchelewa kwa hatua hiyo chanya kwa sekta ya mawasiliano ya simu nchini Tanzania?
Wataalamu wa uchumi na biashara wanaeleza kuwa zoezi hilo huleta pamoja wadau katika mikutano mingi kulijadili kabla ya kukamilisha na kuongeza iwapo litacheleweshwa kutokana na janga hili vikao vya wadau kukutana uso kwa uso havitakuwepo msimu huu.
Nyakati hizi za sintofahamu tunapata faraja kwa habari chanya kuhusu tunapoelekea kama nchi na dunia nzima. Hata hivyo ni wakati sahihi pia wa kutofanya yale ambayo yanaweza kusubiri mpaka wakati sahihi lakini lengo iwe ni kusaidia umma.
Applications For admission into higher degrees academic year-2020/2021
Applications For admission into higher degrees academic year-2020/2021 Applications are hereby invited for admission into Higher Degrees at Sokoine University of Agriculture (SUA) for the academic year 2020/2021. Candidates for Postgraduate Diploma, Master and PhD Degree programmes with course work are admitted and registered once every year for an academic year that starts in October of each year. Candidates for Master… Read More »
The post Applications For admission into higher degrees academic year-2020/2021 appeared first on Udahiliportal.com.
Job Vacancies at Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) and Marine Services Company Limited (MSCL)
Job Vacancies at Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) and Marine Services Company Limited (MSCL) PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/K/180 31st March, 2020 VACANCIES ANNOUNCEMENT- RE-ADVERTISED On behalf of Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) and Marine Services Company Limited (MSCL), Public Service Recruitment Secretariat invites dynamic and suitably qualified Tanzanians to fill 3 vacant posts. 1.0… Read More »
The post Job Vacancies at Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) and Marine Services Company Limited (MSCL) appeared first on Udahiliportal.com.
TANGAZO: JE,UNAHITAJ PESA CHAP CHAP..,JIUNGE NA FREEMASON BILA KAFARA
KARIBU FREEMASONS.
Freemasons ni chama huru kinachotoa utajiri bila masharti ya kumwaga damu wala kutoa kafala.
Jiunge nasi upate upate Mali na umaarufu kaitka nyanja zifuatazo.
1.Katika kilimo na ufugaji
2Biashara ya aina yoyote
3.Masomo (Ngazi zote)
4.Music
5.Sanaa n.k
Watu wengi wamefanikiwa unasubiri jiunge leo ubadilishe maisha yako.
Wasiliana na wakala wetu MKUU kwa namba ..
+255 762 206 804
Popote ulipo.
TANGAZO: KUTANA NA SHEIKH NASORO ,AMBAE ANATATUA NA KUTIBU MATATIZO YAKO YOTE
SHEIKH NASSORO
GASERA Dawa ya MVUTO wa Mapenzi, humvuta mke/mke , mchumba alie kuacha atarudi ndani ya masaa *MATATU* *TU*
Atatekeleza ahadi aliyokuahidi, mfunge mpenzi wako asiwe na mtu mwingine kama alikuahidi kukupa pesa, kukufungulia biashara, kukunulia gari, kama alikuahidi kukuoa atatimiza haraka sana .
*SHEIKH* *NASSORO* . Hutoa pete ya BAHATI, kusafisha nyota, kutafsri ndoto, kupata pete ya bahati na utajiri usiokuwa na mashariti , kurudisha mali iliyopotea/Kuibiwa au kudhulumiwa, kurudishwa kazini na kupata kazi kwa haraka, mfanye boss wako akuamini kwa kila jambo. Katika ofisi unayofanyia kazi.
*H5* *POWER* Ni dawa bora ya nguvu za kiume, huimalisha misuli iliyolegea dawa ni mchanganyiko wa dawa za Congo na Tanzania, huongeza maumbile kwa wakati itakufanya itakufanya urudie tena la ndoa mara nne bila kuchoka/Hamu kuisha.
Tumia uone mafanikio kwa haraka.
*HUDUMA HII UTAIPATA POPOTE *ULIPO NDANI* NA NJE YA NCHI* .
Kwa msaada zaidi wasiliana na SHEIKH NASSORO..
Call/whatassap *+255 759 402 128* ANAPATIKANA *BAGAMOYO* HUDUMA HII UTAIPATA POPOTE ULIPO.
Waziri Mkuu wa mpito nchini Libya, Mahmoud Jibril Aliyemng'oa Muammar Gaddafi Afariki Dunia Kwa CORONA
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yakabidhiwa Magari 12 Kwa Ajili ya Maandalizi Ya Uchaguzi
Madson property limited, Inakuletea mkopo nafuu kabisa wa viwanja na mashamba usio kuwa na riba wala dhamana yoyote ile
.
Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Jonhson alazwa hospitali akionyesha dalili za virusi vya corona
-BBC
Sunday, 5 April 2020
Wenye Virusi vya Corona Nchini Kenya Wafika 142
Hadi sasa Kenya imefikisha idadi ya watu 142 wenye maambukizi ya Corona.
Wizara ya afya nchini Kenya imetaarifu kuwa katika visa vipya 16, raia wa Kenya ni 15 na mmoja anatokea Nigeria.
Raia 11 kati ya hao wana historia ya kusafiri nje ya nchi ilihali 5 ni raia wa eneo.
Watu 12 ni kutoka mji mkuu wa Kenya Nairobi, wengine watatu wanaishi Mombasa 3 na mmoja kutoka Kilifi.
Waliokutwa na maambukizi mapya ni wennye umri kati ya miaka 22 na 66, wanaume ni tisa na wanawake saba.
Kati ya waliothibitishwa, tisa walikuwa kwenye karantini tayari.
Wizara ya afya pia imeweka wazi kwamba inatengeneza barakoa ambazo zitasambazwa kwa wananchi hivi karibuni.
Wizara ya afya imeeleza kuwa watu watakaokufa kutokana na virusi vya Corona watazikwa ndani ya saa 24 huku watu wa karibu wa familia wasiozidi 15 wakiruhusiwa kuhudhuria mazishi hayo yatakayoandaliwa na Serikali.
Wagonjwa wawili wa corona waongezeka Zanzibar, Sasa Wamefika 7
Taarifa ya Waziri Afya Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed imeeleza kuwa wagonjwa hao ni raia wa Tanzania ambao kwa nyakati tofauti waliingia visiwani Zanzibar kutokea mkoani Tanga.
Mohamed amesema watu hao waliingia kupitia bandari ya Mkokotoni mmoja ni mwanaume mwalimu wa shule wa mkoani Tanga aliingia Machi 18 na mwingine ni mfanyakazi wa hoteli (27) alienda Tanga Februari na kurudi Machi 13.
“Wagonjwa wote wanaendelea na matibabu katika kituo cha matibabu ya corona cha Kidimni na hali zao zinaendelea vizuri” imeeleza taarifa ya Mohamed
Sudan Kusini yathibitisha kisa cha kwanza cha Virusi vya Corona
Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli
Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.
“Lengo ni kuhakikisha tunadhibiti mienendo ya wasafiri hawa.Tumeona taarifa ambazo zimetoka kule Iringa, kuna baadhi ya wasafiri tuliwaweka hotelini wakatoroka sasa ili kudhibiti mienendo ya wasafiri hawa na kuwalinda Watanzania wengi tumeona kuna ulazima wa kuwaweka sehemu moja ambako kutakuwa na ulinzi wa saa 24 na mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Dar es Salaam,Bw. Paul Makonda atasimamia kwa karibu chini ya Wizara ya Afya,” amesema Waziri Ummy.
Waziri Ummy Mwalimu amewataka wananchi kufahamu kuwa wasafiri hao si wagonjwa, bali ni kwa sababu wanatoka kwenye nchi zenye maambukizi yenye virusi vya Corona (Covid-19), hivyo hawapaswi kuchukuliwa kama ni wagonjwa.
Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameishukuru Wizara ya Afya kwa namna ambavyo imekuwa ikipambana kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa Corona nchini. "sisi kama mkoa tumejipanga kuhakikisha kwamba watu wote wanaokuja na ambao wapo wanakuwa na afya njema kwa ajili ya kujenga uchumi wa mkoa wetu na Taifa kwa ujumla".
Makonda amewataka Watanzania kufanya kazi na kwamba kuanzia Jumatatu, Aprili 6 atawakamata wazururaji wote wanaozunguka mjini bila kuwa na kazi maalumu watakamatwa kwa kuwa wanasababisha mikusanyiko isiyokuwa na tija.
FULL POWER , ZATI 50 SULUHISHO LA KUDUMU NGUVU ZA KIUME NA UUME MDOGO


Wataalamu Kutoka Wizara Nne Yawasili kwa Mzee Kisangani
Timu ya Wataalamu Tisa kutoka Wizara Nne kwa ajili ya kwenda kumkwamua Mjasiriamali Rueben Mtitu maarufu Mzee Kisangani imewasili mkoani Njombe na kuripoti kwa Katibu Tawala wa Mkoa huo na baadae kuelekea wilayani Ludewa na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya (DC) hiyo
Andrea Tsere.
Ujumbe huo uliwasili mkoani Njombe juzi Aprili 03, 2020 wakitokea maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dodoma, Dar es Salaam na Mbeya.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Prof. Silvester Mpanduji ambae ni Mkurugenzi Mkuu wa SIDO alimueleza DC kuwa Kamati yake ikiwa kwenye eneo la Mradi wa Mzee Kisangani itaainisha masuala mbalimbali ya Kiuchumi, Kibiashara, Kimazingira na Kijamii, huku ikibainisha viashiria hatarishi vinavyoweza kutokea kwenye mradi huo na namna ya kutatua.
Aliongeza kuwa wataalamu hao wako katika maeneo ya fani mbalimbali zitakazo kidhi kumkwamua Mzee Kisangani katika mradi wake kama serikali inavyokusudiwa. Kamati hiyo itaainisha masuala mbalimbali yanayohitaji katika kumsaidia Mzee Kisangani katika upanuzi wa mradi
wake.
Kila mjumbe anajukumu la kufanya na mara baada ya kazi hiyo ripoti ya kazi hiyo itawasilishwa kwa Waziri wa Madini Doto Biteko kwa hatua zaidi.
Kamati hiyo inatekeleza hadidu za rejea zilizotolewa na kikao cha mawaziri kilichokaliwa Machi 30, 2020 katika utekelezaji wa mpango kazi.
Uthubutu na ubunifu wa Mzee Kisangani umepelekea kumshawishi Waziri wa Madini Doto Biteko kuamsha hari ya kumsaidia Mzee Kisangani kutoka hali aliyonayo kibiashara na kufikia ndoto kubwa ya kuwa mfanyabiashara mkubwa huku akibainisha wizara yake kufanya kila linalowezekana kumwezesha kuwa mfanyabiashara mkubwa kupitia zana zake zinazotengenezwa na Madini ya Chuma.
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Andrea Tsere, amemshukuru Waziri wa Madini Doto Biteko, kwa maamuzi ya kuundwa kwa timu hii huku akiwapongeza wataalamu hao kwa kuteuliwa kumsaidia Mzee Kisangani.
Ameongeza kuwa wilaya ya Ludewa ina Raslimali Madini za aina mbalimbali yakiwemo Chuma na Makaa ya Mawe huku kilio chake kikiwa ukosefu wa leseni za wachimbaji wadogo huku maeneo makubwa ya uchimbaji yakiwa yanamilikiwa na Shirika la Maendeo ya Taifa (NDC) huku akiwasilisha kilio hicho kwa mmoja wa Wajumbe kutoka (NDC) Dkt. Yohana Mtoni.

































