INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
André Horst Schürrle (katikati) akifurahia na wachezaji wenzake wa Ujerumani baada ya kufunga bao la saba dhidi ya Brazil.
Wednesday, 9 July 2014
MASTAA WA BONGO MOVE WASUSA 40 YA JAPANESE
MCHEZAJI WA UJERUMANI MIROSLAV KLOSE AWEKA HISTORIA KOMBE LA DUNIA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Miroslav Josef Klose akishangilia baada ya kutupia bao la pili kwa Ujerumani usiku huu na kuvunja rekodi ya kupachika mabao.
MSHAMBULIAJI wa Ujerumani na timu ya Lazio ya Italia, Miroslav Josef
Klose, ameweka historia usiku huu baada ya kutupia bao lake la 16 na
kuwa mfungaji wa mabao mengi katika michuano ya Kombe la Dunia iliyoanza
mwaka 1930 ambayo kwa sasa inaendelea nchini Brazil.
Klose ameifungia Ujerumani bao la pili wakati ikitoa kichapo cha mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014.
Klose alifunga mabao matano katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2002 na 2006, akatupia manne huko Afrika Kusini mwaka 2010 na mpaka sasa huko Brazil tayari amefunga mabao mawili moja dhidi ya timu yake na Ghana wakati la pili dhidi ya Brazil leo.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 36 amempiku mshambuliaji wa Brazil, Ronaldo Luís Nazário de Lima aliyekuwa na mabao 15.
Wachezaji wengine waliowahi kufunga mabao zaidi ya 11 kwenye michuano hiyo ni: Gerd Muller wa Ujerumani 14, Just Fontaine wa Ufaransa 13, Pele wa Brazil 12, Jurgen Klinsmann wa Ujerumani 11 na Sandor Kocsis wa Hungary 11.
Klose ameifungia Ujerumani bao la pili wakati ikitoa kichapo cha mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014.
Klose alifunga mabao matano katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2002 na 2006, akatupia manne huko Afrika Kusini mwaka 2010 na mpaka sasa huko Brazil tayari amefunga mabao mawili moja dhidi ya timu yake na Ghana wakati la pili dhidi ya Brazil leo.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 36 amempiku mshambuliaji wa Brazil, Ronaldo Luís Nazário de Lima aliyekuwa na mabao 15.
Wachezaji wengine waliowahi kufunga mabao zaidi ya 11 kwenye michuano hiyo ni: Gerd Muller wa Ujerumani 14, Just Fontaine wa Ufaransa 13, Pele wa Brazil 12, Jurgen Klinsmann wa Ujerumani 11 na Sandor Kocsis wa Hungary 11.
Tuesday, 8 July 2014
WATU WAWILI WAMEKUFA KATIKA AJALI ILIYOTOKEA MKOANI PWANI LEO HII
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Watu wawili wamekufa katika ajali ya barabarani iliyotokea leo katika kijiji cha kwang’andu kata ya mbwewe mkoani PWANI.
KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA ALGERIA VAHID HALILHODZIC AJIUZULU
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Vahid Halilhodzic
Kocha wa Algeria Vahid Halilhodzic amejiuzulu licha ya ombi la binafsi kutoka kwa rais Abdelaziz Bouteflika akimsihi asijiuzulu.
NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA-BRAZIL KUMKOSA SILVA NA NEYMAR
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mlinzi wa Brazil Thiago Silva (Kushoto) na Mshambuliaji Neymar(kulia)
Mlinzi wa Brazil Thiago Silva hatocheza katika mechi ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Ujerumani Jumanne .
ANGALIA MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 5 JULAI 2014 -SEKRETARIETI YA AJIRA DAR
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Usaili utafanyika sehemu zifuatazo:
1. Kada za GCLA zitafanyika OFISI ZA MKEMIA MKUU WA SERIKALI (GCLA), 10/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
2. Kada za CBE zitafanyika CHUO CHA BIASHARA (CBE), 10/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
3. Kada za MNMA zitafanyika CHUO CHA MWALIMU NYERERE (MNMA) - KIGAMBONI, 9/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
4. Kada za SIDO zitafanyika OFISI ZA SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANISATION, 8/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
5. Kada za SSRA zitafanyika CHUO KIKUU CHA ARDHI, 8/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
NB: WASAILIWA WANATAKIWA KUZINGATIA MUDA NA SEHEMU ILIYOTAJWA KWA AJILI YA USAILI NA KUJA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES).
KADA: CHEMICAL LABORATORY TECHNOLOGIST GRADE II
MWARIJI:GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AGENCY (GCLA)
| MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 5 JULAI 2014 |
1. Kada za GCLA zitafanyika OFISI ZA MKEMIA MKUU WA SERIKALI (GCLA), 10/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
2. Kada za CBE zitafanyika CHUO CHA BIASHARA (CBE), 10/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
3. Kada za MNMA zitafanyika CHUO CHA MWALIMU NYERERE (MNMA) - KIGAMBONI, 9/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
4. Kada za SIDO zitafanyika OFISI ZA SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANISATION, 8/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
5. Kada za SSRA zitafanyika CHUO KIKUU CHA ARDHI, 8/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
NB: WASAILIWA WANATAKIWA KUZINGATIA MUDA NA SEHEMU ILIYOTAJWA KWA AJILI YA USAILI NA KUJA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES).
KADA: CHEMICAL LABORATORY TECHNOLOGIST GRADE II
MWARIJI:GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AGENCY (GCLA)
WATU NANE WAJERUHIWA NA BOMU ARUSHA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Watu 8, wengi wao ni wenye asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa kwa bomu lililotupwa kwenye Mgahawa wa Gymkhana Arusha usiku wa kuamkia leo!
TUTAWALETEA HABARI KAMILI MDA SI MREFU
Watu 8, wengi wao ni wenye asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa kwa bomu lililotupwa kwenye Mgahawa wa Gymkhana Arusha usiku wa kuamkia leo!
TUTAWALETEA HABARI KAMILI MDA SI MREFU
SOMA KISA KIZIMA JINSI HOUSE GIRL ALIVYOMUUA BOSI WAKE KWA KISU-SINGIDA
MAJINA YA WAUZA MADAWA YA KULEVYA YAANIKWA,SOMA HAPA
WATANZANIA WAFURAHI KUMUONA RAIS KIKWETE AKIJUMUIKA NAO KWENYE MAONESHO YA SABASABA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Jumapili Julai 6, 2014 alitembelea kwa mara ya pili maonesho ya


Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Jumapili Julai 6, 2014 alitembelea kwa mara ya pili maonesho ya
DIAMOND PLATNUMZ AMZAWADIA MAMA YAKE GARI LA MILIONI 38
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Toyota Lexus New Model yenye thamani ya milioni 38.1 aliyozawadiwa mama Diamond na mwanaye.
Monday, 7 July 2014
ANGALIA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU REKEBISHI (BRIDGING COURSE)
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
ORODHA
YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU REKEBISHI
(BRIDGING COURSE) YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MASOMO YA SAYANSI NA
HISABATI KATIKA CHUO CHA UALIMU MONDULI MWAKA WA MASOMO 2014/2015.