Friday, 6 September 2019

BASI LA KIMOTCO KUTOKA ARUSHA KWENDA MUSOMA LAPATA AJALI

...


Abiria waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Kimotco kutoka Arusha kwenda Musoma mkoani Mara wamenusurika kifo baada ya basi hilo kuacha njia na kupinduka eneo kati ya Itilima na Maswa mkoani Simiyu.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, William Mkonda amesema ajali hiyo imetokea jana Alhamisi Septemba 5, 2019  saa 12 jioni.

"Hakuna vifo kuna majeruhi ambao bado hawajafahamika na wanapatiwa matibabu katika hospitali ya Maswa. Tunasubiri taarifa ya madaktari wa Maswa ili tutoe taarifa kwa umma,” amesema Kamanda huyo.

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger