
Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, William Mkonda amesema ajali hiyo imetokea jana Alhamisi Septemba 5, 2019 saa 12 jioni.
"Hakuna vifo kuna majeruhi ambao bado hawajafahamika na wanapatiwa matibabu katika hospitali ya Maswa. Tunasubiri taarifa ya madaktari wa Maswa ili tutoe taarifa kwa umma,” amesema Kamanda huyo.
0 comments:
Post a Comment