Wawakilishi
wa Global Publishers, Sifael Paul (anayeandika kwenye daftari) na Elvan
Stambuli mwenye kizibao, wakiandika mchango wa Kampuni ambao ni
shilingi 500,000 kabla ya kuwakabidhi ndugu wa marehemu Muhidini Gurumo
leo jioni nyumbani kwa marehemu Makubuli, Dar, leo. Atazikwa kesho
Masaki, Kisarawe.
Mwakilishi
wa Global Publishers, Elvan Stambuli akimkabidhi mjomba wa marehemu
Muhidini Gurumo, Yahya Mikole (katikati) shilingi 500,000 ambazo ni
rambirambi ya kampuni kwa msiba huo.
…Fedha zikihesabiwa.
Mwakilishi
wa Global akizungumza, Stambuli akimtambulisha Mhariri wa Ijumaa
Wikienda, Sifael Paul kwa nguli wa muziki King Kikii ambaye alikuwepo
msibani leo.
Mwanamuziki mpapasa kinanda, Abdul Salvado ‘Father Kidevu’ akisalimiana na mwakilishi wa Global.
Hawa ni wadau wa muziki wa dansi wakiwa msibani keo huku wakionesha sura za huzuni.
Rashidi Pembe (mpuliza saksafoni kulia) akiwa na King Kikii msibani leo.
0 comments:
Post a Comment