Monday 24 January 2022
WATAALAMU 422 WA TANZANIA BARA, ZANZIBAR WAPATIWA MAFUNZO YA ANWANI ZA MAKAZI
MAMA AJITOLEA KUMZALIA MTOTO MWANAE
MABASI YASIYO NA DEREVA KUANZA KUFANYA KAZI
AKAA KWENYE MATAIRI YA NDEGE SAA 11 ANGANI
Sunday 23 January 2022
Video Mpya : NYANDA MADIRISHA OBHADO 'MALIGANYA' - BHUHANGWA
WATOTO WATATU WAFARIKI KWA KULA UYOGA NZEGA
WATU WATANO WA FAMILIA MOJA WAUAWA DODOMA
Waziri Bashungwa: Wakandarasi Wazembe Kutopatiwa Kazi Za Tarura
Na. Angela Msimbira, Njombe
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff kuwaorodhesha makandarasi wote ambao wako kwenye rekodi ya kutokufanya vizuri na wababaishaji kufutwa na kutofanya kazi za TARURA nchi nzima.
Ameyasema hayo mapema leo wakati akikagua barabara ya Igosi –Ujindile-Wangama yenye urefu wa kilometa 16.9 iliyopo kata ya Wangama katika Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe ambayo inatarajiwa kujengwa kwa kiwango cha changarawe kutokana na Fedha za Tozo ya Mafuta.
Waziri Bashungwa amesema kuwa Makandarasi ambao hawafanyi vizuri wasiwe wanahamishwa kutoka sehemu moja hadi nyingine, badala yake wapewe kazi makandarasi ambao wanauwezo wa kufanya kazi kwa viwango na kasi inayotakiwa.
“Serikali ya Awamu ya Sita inataka kupeleka huduma kwa wananchi kwa kuboresha mawasiliano ya miundombinu ya barabara hasa vijijini, Rais wetu anataka kuiboresha TARURA ili iweze kuhudumia watanzania, Makandarasi wanaofanya kazi kwa mazoea hawahitajiki kwa sasa “, amesema Waziri Bashungwa
Waziri Bashungwa amesisitiza kuwa moja ya vitu ambavyo vitafanyika kwa Makampuni na Makandarasi wazembe na rekodi zinaonyesha ni wazembe ameelekeza apelekewe taarifa zao ili wasipatiwe kazi za TARURA kwani Serikali itafanya kazi na Makandarasi watakaofanya kazi kwa weledi na kukamilisha miradi kwa wakati na ameelekeza kuwepo kwa kanzidata kwa ajili ya Makampuni na Makandarasi ambayo yanafanya kazi vizuri ili waweze kupatiwa kazi za TARURA.
Amesisitiza kuwa lengo la kuanzishwa kwa TARURA nchini ni kuhakikisha inawasaidia wananchi wa vijijini katika Suala zima la ujenzi wa miundombinu ya barabara ili kuwasaidia watanzania ambao ni wakulima kuwafungulia fursa za kusafirisha bidhaa zao kwa urahisi, hivyo ni wajibu kutumia makandarasi wanaofanya kazi kwa uaminifu na kuhakikisha miradi wanayopatiwa na Serikali inakamilika kwa wakati.
Akiwasilisha taarifa kuhusu ujenzi wa barabara hiyo, Meneja wa TARURA Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe, Mhandisi Boniface Kasambo ameeleza kuwa barabara ya Igosi-Ujindile-Wangama ni muhimu kwa wanachi wa eneo hilo kwa kuwa inatumika kusafirisha mazao ya biashara ikiwemo parachichi, viazi na mbao kutoka mashambani Kata ya Wangama na Igosi kupeleka katika masoko ya Njombe Mji na Makambako kupitia barabara kuu ya Njombe -Makete.
Mhandisi Kasambo amesema ujenzi wa barabara hiyo unatarajiwa kuanza hivi karibuni, umeidhinishiwa zaidi ya shilingi milioni 400 na utajumuisha ujenzi wa barabara kwa kiwango cha changarawe, kuchimba mifereji na kujenga makalati.
Saturday 22 January 2022
SERIKALI INAENDELEA KUYABAINI MAENEO YA MACHIFU NA KUYATUNZA ILI YAWE VIVUTIO NCHINI-RAIS SAMIA
PAKUA APP MPYA YA MALUNDE 1 BLOG UPOKEE HABARI NA MATUKIO KWA URAHISI KWENYE SIMU YAKO
Pakua App mpya ya Malunde 1 blog imeboreshwa zaidi ili kukidhi mahitaji ya wasomaji wetu.
UKIPOTEZA MKEKA UNALIPWA: SOMA HAPA JINSI YA KUOMBA BONUS UKILOST MKEKA WAKO
Habari njema kwa wadau wa kubeti ambao hupoteza mikeka yao mara kwa mara hapa nitakueleza namna ya kuomba utumiwe bonus kama malipo ya mikeka yako uliyopoteza
Ofa hii inapatikana ndani ya kampuni ya kubet ya 22bet
Masharti ya kupata bonus hii,
👉 Ni lazima uwe umejisajili na >>22bet>>
👉Uwe umepoteza angalau mikeka 20 mfululizo
👉Katika timu zote ulizopoteza timu ziziwe na ods juu ya 3.0 maana kuna watu watachagua timu yenye ods 12 ili walost makusudi na kuomba bonus.
👉Mikeka yote uliyolost iwe imewekwa ndani ya siku 30 sio zaidi ya hapo.
👉 Kila mkeka uliolost stake yake ianzie $2 sawa na kama 4700
👉Kumbuka unatakiwa kuomba bonus hii kwa account moja tu, ikiwa unamiliki zaidi ya account 1 hutopewa na watagundua kupitia IP adress
Does your series of losing bets meet all the requirements? Then email us at support@22bet.com account number and putting "Series of losing bets" in the subject line.
Kama umetimiza vigezo hivyo tuma barua pepe, na sehemu ya subject jaza account namba yako na idadi ya mikeka uliyopoteza utapokea malipo yako ndani ya muda mfupi, kumbuka email itumwe kwenda support@22bet.com
kUJISAJILI NA 22BET BOFYA >>>HAPA>>
SIASA ZILINIPIGA CHENGA, NILIAMBULIA PATUPU LICHA YA KUMWAGA HELA
Ama kwa hakika siasa hapa nchini Kenya huwa na wenyewe jinsi watu wanavyosema. Kila mara nilipowaona wanasiasa wakishinda viti mbalimbali hapa nchini nilidhani ni swala rahisi tu bora kujieleza.
Nilifikiria tu wakati unapofanya mkutano wa kisiasa na wakati mwingine umati mkubwa wa watu ujitokeze ilikuwa ishara tosha kwamba ungeshinda kiti kile lakini hii haikuwa kweli kwani umati labda ulikuwa umekuja kula hela zako ama kusikia ajenda zako na mara nyingi wao huwa na mtu wao ambao wangependa kumpigia kura.
Ama kwa hakika ulikuwa ni mchezo mchafu na ulio na watu waliouelewa. Mwaka mmoja nilisimama kiti cha ubunge wa kaunti na nikaona maajabu.
Nilikopa hela za kampeni na kuwamwagia vijana, wazee na watu mbalimbali kwa ajili ya umaarufu ile niibuke bigwa kwenye debe. Mambo yalienda mrama kwani niliibukia limbukeni na nikawa mkia kwenye kinyang’anyiro hicho.
Sikuwa na chochote cha kujivunia kwani nilikuwa nimepoteza hela pamoja na muda wangu kwa wakati mmoja. Nilingojea miaka mitano baadae na nikajitoza kwenye kiwanja tayari kuonyesha makali yangu ana mara hii nilidhania eti kwa vile nilimaliza mkia wakati uliopita, raia wenye eneo wadi ile wangenihurumia na kunipa kura.
Kampeni zilichacha na hapo nilifahamu fika kwamba mambo yalikuwa mazuri kwani vijana na akina mama waliniahidi uungwaji mkono. Kiongozi wa chama chetu mara hii alibnifadhili kwani ajenda zangu zilienda sambamba na manifesto ya chama.
Kila nilipoenda mashinani, watoto kwa vijana kwa wanawake wote waliimba jina langu. Nilifahamu huu ulikuwa ni mwamko mpya kwenye shughuli zangu za kisiasa. Ama kwa hakika ilikuwa ni siku njema ilyoanza kuonekana mapema. Siku ya kupiga kura ilifika na hapo nilifurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza. Wakati wa matokeo ulipofika, nilipigwa na butwaa kwani wakati huu pia nilikuwa wa mwisho.
Aibu ilinikumba nisijue la kufanya. Kila mtu alinikejeli na kuniita majina matusi. Wengine walisema kuwa nilikuwa naharibu pesa zangu nikijitosa kwenye ulingo huu wa siasa.
Atafutaye hachoki lakini kwa wakati huu nilikuwa nimefikia kwenye ukingo wa swala zima la siasa. Nilipatana na mbunge Flani ambaye jina lake nalibana. Nilimuuliza siri yake kwenye ulingo wa siasa na akanielezea kwamba daktari Kiwanga alimsaidia akashinda kiti hicho kwa mpigo.
Siku iliyofuatia nilienda ofisini kwa daktari Kiwanga kwa ushauri na usaidizi kwani ilikuwa imebaki ni mwaka mwezi mmoja kabla ya uchaguzi mkuu. Nilirejea kutoka kwa daktari Kiwanga na kurejelea shuguli zangu za kampeni. Mara hii umati mkubwa ulijitokeza kunishangilia kwa kishindo.
Jambo hili lilitia wapinzani wangu kiwewe kwani ilikuwa ni ishara tosha mambo yalikuwa yamebadilika kwa uwezo wa daktari Kiwanga. Mara nyingi wapinzani wangu walitafuta sababu za kuniharibia lakini kwa kweli wimbi nilikuwa nalo kwa wakati ule.
Hela nilimwaga kama ilivyokuwa kawaida yangu ili kuwarai raia waweze kunipigia kura. Siku ya kupiga kura ilipowadia nilijihisi kama niliyekuwa na mwamko mpya maishani. Nilipiga kura yangu asubuhi na mapema na nikarejea nyumbani kupumzika huku nikongoja matokea na mara hii nilikuwa na matumaini kuwa ningeibukia mshindi.
Wakati wa matokea uliwadia na nilikuwa nimeketi ukumbini nikiwa ange kujua yote yaliyojiri kwenye uchaguzi ule. Matokea yalianza na hapo nilitangazwa kama mshindi na mbunge wa wadi. Nilipokezwa cheti kwa mpigo. Hakuna yeyote aliyepeleka kesi mahakamani kupinga kuchaguliwa kwangu kama mbuge wa wadi ile kwa wakati wowote.
Ama kwa hakika daktari Kiwanga alikuwa ameimarisha azma yangu ya kuwa mwanasiasa. Daktari Kiwanga ana uwezo wa kusuluhisha mizozo ya ndoa,biashara kunawiri, kushinda kesi kotini na mengineyo. Ana uwezo wa kutibu magonjwa mbalimbali kama vile kifua kikuu, kifafa, kifaduro na mengineyo kwa siku tatu pekee. Waweza kumpata Dkt. Kiwanga kupitia wavuti www.kiwangadoctors.com barua pepe kiwangadoctors@gmail.com au piga simu kwa nambari +254769404965.
Friday 21 January 2022
SERIKALI KUWABAINI WATU 200,000 WANAOISHI NA VVU BILA KUJUA
HOSPITALI YABURUZWA MAHAKAMANI KWA KUMPA MGONJWA MAJIBU YA UONGO...MWENYEWE ADAI FIDIA MILIONI 40
WAZALISHAJI WA BIDHAA ZA VIWANDANI WATUMA OMBI KWA SERIKALI NA TRA , KUSHUSHA GHARAMA ZA STEMPU ZA KODI ZA KIELEKTRONIKI (ETS)