INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Friday 8 May 2015
Thursday 7 May 2015
Wednesday 6 May 2015
Tuesday 5 May 2015
PICHA MBALIMBALI:TAZAMA ALICHOKIFANYA MBOWE MUDA HUU HAPA UBUNGO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
YANGA KUKABIDHIWA KOMBE LA LIGI KUU 2014/2015 KESHO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
VPL KUENDELEA KESHO
Ligi
Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea kesho kwa mchezo
mmoja utakaopigwa katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam,
wenyeji timu ya Azam FC watawakaribisha Mabingwa wapya wa ligi hiyo
msimu huu timu ya Young Africans.
UPDATES:MADEREVA WAMALIZA MGOMO SAA 7 MCHANA HUU,ABIRIA WA MWANZA,KIGOMA NA MUSOMA WAANZA SAFARI,TRAFKI WAZUIWA KUSIMAMISHA MABASI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Madereva wametangaza kumaliza mgomo baada ya kufikia muafaka na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na kuundwa kwa kamati itakayosimamia matatizo ya madereva na kutoa taarifa baada ya siku saba.
Madereva wametangaza kumaliza mgomo baada ya kufikia muafaka na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na kuundwa kwa kamati itakayosimamia matatizo ya madereva na kutoa taarifa baada ya siku saba.
Monday 4 May 2015
ESTER KIAMA AFUNGUKA: JAMANI MASTAA ACHENI KUIBA WAUME ZA WATU!
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Funguka! Mwanadada mwenye mvuto wa aina yake katika kiwanda
cha filamu Bongo, Ester Kiama ameibuka na kuwachana mastaa wa kike
wanaopenda kuiba waume za watu kwamba waache kwani si tabia nzuri.
MPYA:'MAMA ATUPA MTOTO ,KISA UGOMVI WA KIMAPENZI"
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Binadamu wamepoteza utu! Mwanamke mjamzito aliyefahamika kwa
jina la mama Janeth, mkazi wa Kimara-Suka jijini Dar anadaiwa kujifungua
kisha kukiweka kichanga kwenye begi
GOLD-DIGGER:"WEMA MREMBO KULIKO ZARI"
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kumbe! Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa
Kumbe! Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa