Friday 27 June 2014

VIDEO:ANGALIA JINSI SUAREZ ALIVYOFANYA TUKIO LA KUMN'GATA MCHEZAJI WA ITALIA UWANJANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

PENNY, WEMA USO KWA USO-STUDIO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Katika hali isiyotarajiwa, mchumba wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Wema Sepetu na aliyewahi kuwa mchumba wa msanii huyo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ walikutana studio na kila mmoja akamkwepa mwenzake.
Share:

NISHA AWAJIBU WANAOMWITA MCHAWI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOYStori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewabwatukia wasanii wenzake wanaomshutumu kwamba anatumia ndumba na kuwataka waache maneno hayo.
Share:

MZEE WA KANISA AKURUPUSHWA GESTI-BAADA YA KUFUMANIWA NA BINTI WA KIZAI KIPYA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Tumekwisha! Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya kukurupushwa kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) akidaiwa kutaka kuvunja amri ya sita na binti ambaye ni msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Debora Jacob, Ijumaa lina kisanga cha aina yake.
Share:

WABUNGE WANUKA RUSHWA-DODOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
bunge2 c927e

WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha.
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA

1_fbc8c.jpg
Share:

Thursday 26 June 2014

SUAREZ AADHIBIWA MIEZI MINNE na MECHI TISA NJE,BAADA YA KUMN'GATA MCHEZAJI MMWENZAKE


suarez
Habari za hivi punde zinasema kuwa FIFA imemuadhibu Suarez kwa kumfungia mechi tisa
Share:

MAZISHI YA SISTA ALIEUWAWA KWA KUPIGWA RISASI UBUNGO YAFANYIKA ANGALIA PICHA ZOTE HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

USAJILI MAN UNITED:HERRERA ATUA MAN UNITED, AKABIDHIWA JEZI.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao.
Share:

DOWNLOA WIMBO MPYA WA LINA NA HADIJA- MKE MENZANGU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMOND AKIIMBA TAARAB

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD>>
Share:

NGUMI BUNGENI:JAJI WEREMA AMFANANISHA MBUNGE KAFULILA NA TUMBILI TAFRANI YAIBUKA, MAWAZIRI WAINGILIA KATI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
Share:

ANGALIA PICHA YETU YA SIKU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY      MASWAYETU BLOG
Share:

VYUO VIKUU VINAVYOONGOZA KWA UTOAJI WA ELIMU BORA TANZANIA(GRADUATES)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://4.bp.blogspot.com/-obRp0pUhVv4/UAKkTh1KKZI/AAAAAAAAQN8/KncwExHve-M/s1600/udsm.jpg


Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia  zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.


Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.

  Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
 1  University of Dar es Salaam . (UD)

 2  Sokoine University of Agriculture (SUA)

 3  Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)

Share:

UKWELI KUHUSU MH.SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA KUZUSHIWA KIFO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
index

TAARIFA TOKA BAGAMOYO


Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na
Share:

MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA JANA MKOANI GEITA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY




Share:

SCHOLARSHIPS FROM THE GOVERNMENT OF THE DEMOCRATIC PEOPLE’S REPUBLIC OF ALGERIA TENABLE IN ACADEMIC YEAR 2014/2015, [RE - ADVERTISED]

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                         
Applications are invited from qualified Tanzanians to pursue Undergraduate degree programs in Algeria for the year 2014/2015. The medium of instruction is French.

FIELDS OF STUDY
  • Medicine
  • Economic, Management and Commercial Sciences.
  • Mathematics and Computer science
  • State Engineer in Telecommunications
  • Science and Technology (Environmental Engineering)
  • Science and Technology (Architecture)
  • Science and Technology (Hydrocarbons and Chemistry)
  • Science and Technology ( Electronics)
  • Science of Earth and Universe (Hydrogeology)
  • Science of Nature and Life (Food Industry)
  • Science of Nature and Life (Biology and physiology of Organism)
  • Science of Nature and Life (Ecology and Environment)
  • Matter Sciences (Chemistry)
  • Matter Sciences (Physics)
  • French Language
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger