Friday 27 June 2014
PENNY, WEMA USO KWA USO-STUDIO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Katika hali isiyotarajiwa, mchumba wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Wema Sepetu na aliyewahi kuwa mchumba wa msanii huyo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ walikutana studio na kila mmoja akamkwepa mwenzake.
Katika hali isiyotarajiwa, mchumba wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Wema Sepetu na aliyewahi kuwa mchumba wa msanii huyo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ walikutana studio na kila mmoja akamkwepa mwenzake.
NISHA AWAJIBU WANAOMWITA MCHAWI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOYStori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewabwatukia wasanii wenzake wanaomshutumu kwamba anatumia ndumba na kuwataka waache maneno hayo.
MWANADADA kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewabwatukia wasanii wenzake wanaomshutumu kwamba anatumia ndumba na kuwataka waache maneno hayo.
MZEE WA KANISA AKURUPUSHWA GESTI-BAADA YA KUFUMANIWA NA BINTI WA KIZAI KIPYA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Tumekwisha! Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya kukurupushwa kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) akidaiwa kutaka kuvunja amri ya sita na binti ambaye ni msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Debora Jacob, Ijumaa lina kisanga cha aina yake.
Tumekwisha! Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya kukurupushwa kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) akidaiwa kutaka kuvunja amri ya sita na binti ambaye ni msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Debora Jacob, Ijumaa lina kisanga cha aina yake.
WABUNGE WANUKA RUSHWA-DODOMA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WAKATI
muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati
wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara
waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha.
Thursday 26 June 2014
SUAREZ AADHIBIWA MIEZI MINNE na MECHI TISA NJE,BAADA YA KUMN'GATA MCHEZAJI MMWENZAKE
USAJILI MAN UNITED:HERRERA ATUA MAN UNITED, AKABIDHIWA JEZI.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao.
KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao.
NGUMI BUNGENI:JAJI WEREMA AMFANANISHA MBUNGE KAFULILA NA TUMBILI TAFRANI YAIBUKA, MAWAZIRI WAINGILIA KATI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
VYUO VIKUU VINAVYOONGOZA KWA UTOAJI WA ELIMU BORA TANZANIA(GRADUATES)
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.
Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.
Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
1 University of Dar es Salaam . (UD)
2 Sokoine University of Agriculture (SUA)
3 Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)
Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.
Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.
Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
1 University of Dar es Salaam . (UD)
2 Sokoine University of Agriculture (SUA)
3 Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)
UKWELI KUHUSU MH.SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA KUZUSHIWA KIFO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TAARIFA TOKA BAGAMOYO
Ndg
Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo
na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko
yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne
Kawambwa kutokana na
SCHOLARSHIPS FROM THE GOVERNMENT OF THE DEMOCRATIC PEOPLE’S REPUBLIC OF ALGERIA TENABLE IN ACADEMIC YEAR 2014/2015, [RE - ADVERTISED]
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Applications are invited from qualified Tanzanians to pursue Undergraduate degree programs in Algeria for the year 2014/2015. The medium of instruction is French.
FIELDS OF STUDY
Applications are invited from qualified Tanzanians to pursue Undergraduate degree programs in Algeria for the year 2014/2015. The medium of instruction is French.
FIELDS OF STUDY
- Medicine
- Economic, Management and Commercial Sciences.
- Mathematics and Computer science
- State Engineer in Telecommunications
- Science and Technology (Environmental Engineering)
- Science and Technology (Architecture)
- Science and Technology (Hydrocarbons and Chemistry)
- Science and Technology ( Electronics)
- Science of Earth and Universe (Hydrogeology)
- Science of Nature and Life (Food Industry)
- Science of Nature and Life (Biology and physiology of Organism)
- Science of Nature and Life (Ecology and Environment)
- Matter Sciences (Chemistry)
- Matter Sciences (Physics)
- French Language