Tuesday, 7 January 2025
MBIVU MBICHI NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM KUJULIKANA JANUARI 18 AU 19
Monday, 6 January 2025
DUH! MREMBO ATOA KALI YA MWAKA MTANDAONI

Anasema walikuwa wanaishi tu kwenye ndoa lakini alikuwa na wasiwasi kutokana mumewe amekuwa akimtenga kutokana na ukweli kwamba wawili hao walikuwa wakiishi kwenye ndoa ya sogea tuishi ambayo haifuati taratibu za kidini na kimila.
Kama alivyosema, siku zote alitamani kwamba mume wake siku moja angemwita majina kama "asali wa moyo" lakini kwa jinsi mambo yalivyokuwa yakienda, aliona angesubiri kwa miaka mingi kuona jambo hilo likitokea.
"Tulikuwa kwenye ndoa kwa takribani miaka sita na hakuwahi kuniita jina lolote tamu. Nilikuwa nikijitahidi kadri niwezavyo lakini mume wangu alionekana kuwa mtu asiye na akili ya kujiongeza. Alikuwa akiniita kwa majina yangu kama yanavyoonekana kwenye kitambulisho changu." alisema.
Anasema hali hii ilifanya ndoa yao kuwa ya kuchosha sana lakini kupitia mtandao wa kijamii, alifahamu kuhusu huduma za Dr Bokko ambaye ni mtaalam wa tiba asilia katika eneo zima la Afrika Mashariki na Kati.
Mrembo huyo alipitia baadhi ya shuhuda kwenye tovuti yake na kugundua kuwa Dr Bokko ameokoa ndoa nyingine zenye hali mbaya kama yake, ndipo akaamua kuwasiliana naye kwa ajili ya huduma yake.
Huko kwa Dr Bokko alipewa maneno ya mapenzi yenye nguvu ambayo yalikusudiwa kuamsha mapenzi katika ndoa yake. Baada ya muda anasema aliona mabadiliko makubwa kwa mume wake. Aligeuka kuwa mtu wa kimapenzi tofauti na hapo awali.
Sasa anamwita majina matamu na pia akabadilika na kuwa mtu wa kimapenzi, jambo ambalo anasema liliifanya ndoa yao kuwa tamu ajabu. Wasiliana na Dr Bokko kwa namba +255618536050 ili nawe upate utatizo wa changamoto yako katika mapenzi.
Mwisho.
VYANDARUA 1,542,836 VYENYE DAWA KUSAMBAZWA KATIKA MKOA WA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jumla ya vyandarua 1,542,836 vyenye dawa vinatarajiwa kusambazwa katika mkoa wa Shinyanga mwezi huu, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali na wadau wake kupambana na ugonjwa wa malaria.
Taarifa hiyo imetolewa leo Januari 6,2025 wakati wa kikao kazi cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga juu ya kampeni ya ugawaji wa vyandarua vyenye dawa Mkoani Shinyanga.
Katika kikao hicho waandishi wa habari wamepitishwa katika mada mbalimbali ikiwemo hali ya malaria nchini Tanzania na mkakati wa kinga dhidi ya malaria, kampeni ya ugawaji wa vyandarua mkoani Shinyanga, mbinu bora za kuwasilisha taarifa za malaria, taarifa muhimu kwa jamii juu ya kampeni ya ugawaji vyandarua na mchango wa vyombo vya habari katika utoaji wa taarifa za kampeni ya ugawaji vyandarua.
Vyandarua hivi vitasambazwa kwa wananchi katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo, huku lengo likiwa ni kupunguza maambukizi ya malaria.
Usambazaji huu utakuwa sehemu ya mpango wa kitaifa wa kupunguza vifo vinavyosababishwa na ugonjwa wa Malari, ambao bado ni changamoto kubwa katika baadhi ya mikoa ya Tanzania.
Vyandarua vyenye dawa vimekuwa moja ya njia bora za kudhibiti maambukizi ya malaria.
Serikali ya Tanzania inatarajia usambazaji huu utafikia kaya nyingi zaidi na hivyo kuokoa maisha ya wananchi. Usambazaji huu utafanyika kwa ushirikiano wa karibu na Serikali za Mitaa, na kwamba vyandarua vitasambazwa kwa usawa na kwa kasi ili watu wa maeneo ya vijijini wasiachwe nyuma.


















































