Thursday, 2 January 2020

Upande wa Jamhuri wakataa Kabendera kumzika Mama yake...Mahakama Kuamua

Upande wa Serikali umempa pole Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera kwa kufiwa na Mama yake mzazi, Verdiana Mujwahuzi huku ukipinga maombi yake ya kutaka ashiriki Ibada ya mazishi ya mama yake. Hayo yamebainika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati Kabendera anayekabiliwa na kesi ya utakatishaji...
Share:

Waandamanaji waondoka eneo la ubalozi wa Marekani, Iraq

Waungaji mkono wa makundi ya kijeshi nchini  Iraq yanayoungwa mkono na Iran ambao waliovamia maeneo ya viunga vya ubalozi wa  Marekani na kurusha mawe katika maandamano ya siku mbili wameondoka jana(01.01.2020). Hatua  hiyo  imewezekana  baada  ya  Marekani kupeleka ...
Share:

Polisi adaiwa kukatwa sehemu za siri na mkewe

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia Flora Adamu (23), mkazi wa Shinyanga Mjini, kwa tuhuma za kumkata mumewe sehemu za siri, ambaye ni askari Polisi mwenye Namba H, 8980 Pc Kazimiri, kwa madai ya kumtuhumu kutokuwa muaminifu katika ndoa. Imeelezwa kuwa mtuhumiwa huyo alimtuhumu mumewe...
Share:

Papa Francis aomba radhi kwa kumchapa kibao muumini Aliyemvuta kwa Nguvu

Papa Francis ameomba radhi kwa kumpiga kibao mkononi mwanamke mmoja aliyemvuta kwa nguvu wakati akisalimiana na waumini katika mkesha wa mwaka mpya. Papa amesema alikosa uvumilivu na kwamba kitendo kimeweka mfano mbaya. Papa alikuwa akisalimiana na watoto na mahujaji na wakati akigeuka mwanamke...
Share:

DC Njombe ataka amani isichezewe

Na Amiri kilagalila-Njombe Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri,ametoa wito kwa wananchi mkoani humo kuwa sehemu ya kuilinda amani ya Tanzania ili kuchochea maendeleo ya taifa kwa ujumla na kuendelea kuifanya tanzania kuwa ndio sehemu pekee yenye amani ya uhakika Duniani. Pamoja na hayo amewakaumbusha...
Share:

PAPA FRANCIS AOMBA RADHI KWA KUMCHAPA VIBAO MUUMINI

...
Share:

BITEKO AKAMATA KIWANDA BUBU CHA UCHENJUAJI DHAHABU SHINYANGA

Ndani ya kiwanda bubu kilichokamatwa na kufungiwa na waziri wa Madini Dotto Biteko. Baadhi ya mifuko zaidi ya 25 ya cabon iliyokamatwa kabla ya kuchenjuliwa katika kiwanda hicho. Maafisa madini wakifunga kiwanda bubu cha Uchenjuaji dhahabu katika kijiji cha Bunango wilayani Kahama. Waziri wa...
Share:

Biteko Akamata Kiwanda Bubu Cha Uchenjuaji Dhahabu Shinyanga.

SALVATORY NTANDU Licha ya serikali kuboresha sekta ya madini kwa wafanyabiashara wadogo wa madini wilayani Kahama mkoani Shinyanga imebainika kuwa wapo ambao wamekuwa wakifanya shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu ikiwemo kuanzisha viwanda bubu na kuikosesha  serikali mapato. Hayo...
Share:

Jeshi La Polisi Mkoani Mbeya Latoa Ufafanuzi Kuhusu Jeneza Kukutwa Sokoni Soweto.

Ni kwamba mnamo tarehe 21/12/2019 mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la MASUOD MUSA MOHAMED [47] mfanyabiashara na mkazi wa makambako mkoani Njombe aliletwa kwa gari ya wagonjwa [Ambulance] katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa mapafu na mnamo tarehe 23/12/2019 majira...
Share:

ADAIWA KUKUTWA NA MIHURI 56 YA SERIKALI IKITUMIKA KUGHUSHIA NYARAKA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia ABRAHAM  OBEDI [55] wakala wa bima ya GTM na Mkazi wa Isanga Jijini Mbeya akiwa na mihuri hamsini na sita [56] ya idara mbalimbali za serikali na ofisi binafsi ambayo imeghushiwa na kuhifadhiwa katika ofisi yake ya Stationaries. Mtuhumiwa alikamatwa...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi January 2

...
Share:

Wednesday, 1 January 2020

Iran yamuita afisa wa Uswisi kujadili kile inachosema ni "uchokozi wa Marekani" kwa Iraq

Wizara ya mambo ya nje ya Iran imesema serikali yake imemuita afisa wa ubalozi wa uswisi ambayo inawakilisha matakwa ya Marekani nchini humo kulalamika juu ya uchokozi wa Marekani katika taifa jirani la Iraq.  Kulingana na taarifa kutoka wizara hiyo, Jamhuri ya kiislamu ya Iran imelaani vikali...
Share:

Masauni apiga marufuku Mawakili Nje ya Ofisi za NIDA

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni amepiga marufuku watu wanaojiita mawakili na kuwatoza wananchi kiasi cha  fedha kinachozidi shilingi Elfu Kumi  wakidai ni ada ya kupewa nyaraka mbadala ya cheti cha kuzaliwa ikiwa ni hitajio la msingi kwa wananchi...
Share:

Monitoring, Learning and Evaluation (MLE) Manager at Project Concern International Musoma, TZ

Monitoring, Learning and Evaluation (MLE) Manager at Project Concern International Musoma, TZ PCI is a non-profit organization dedicated to preventing diseases, improving community health, and promoting sustainable development worldwide. With support from United States Department of Agriculture (USDA), PCI Tanzania will be implementing the final phase of Food for Education (FFE) programming in the...
Share:

TRA Yavunja Rekodi Nyingine Kwa Kukusanya Trilioni 1.987 Desemba 2019

Na Veronica Kazimoto-Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa mara nyingine, imevunja rekodi kwa kukusanya jumla ya kiasi cha sh. trilioni 1.987 kwa mwezi Desemba 2019 ambayo ni rekodi ya kwanza kufikiwa tangu kuanzishwa kwake ikilinganishwa na rekodi ya mwezi Septemba, 2019 iliyokuwa...
Share:

ASKARI POLISI AKATWA UUME NA MKEWE SHINYANGA

Picha haihusiani na habari hapa chini Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Askari polisi aitwaye Kazimir (28) mkazi wa Shinyanga Mjini amenusurika kifo baada ya sehemu zake za siri kukatwa na kitu chenye ncha kali akiwa amelala na mkewe Flora Adam (23) kutokana na kile kinadaiwa ni wivu wa mapenzi 'mme...
Share:

Head; Business Banking at NMB Tanzania

Reporting Line: Chief, Retail Banking Job Purpose To builds an effective network of internal and external relationships, such as community and industry relationships, to actively acquire new clients and/or expand existing clients and enhance the client experience. Leverages reporting and sales tools to proactively identify and successfully convert sales opportunities To Manage risk/return and drives...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger