
Monday, 18 November 2019
TAKUKURU YAMKAMATA MWEKA HAZINA WA KIKUNDI ALIYEDAI PESA ZIMEYEYUKA KISHIRIKINA

Volunteering Opportunities at Active Women Foundation (AWF)
OVERVIEW Active Women Foundation AWF was founded in 2016 and registered as a non-governmental organization under the Act No.24 of the year 2002 as amended in 2005 The operation of the Foundation is in Tanzania main land,Before it started as entrepreneurs group with 11 members all women, in one year of operation they attained their goals and saw… Read More »
The post Volunteering Opportunities at Active Women Foundation (AWF) appeared first on Udahiliportal.com.
Maintenance Manager Job at Epic Business Resources Limited
Maintenance Manager Job Objective Ensures asset integrity and availability for production purpose, leads the maintenance function in providing both a reactive and proactive, multi skilled maintenance services on all operational equipment and facilities. Key Responsibility Responsible for development, review and implementation of best practice, maintenance strategy, policies, processes, procedures and work instructions to aid and improve operational performance… Read More »
The post Maintenance Manager Job at Epic Business Resources Limited appeared first on Udahiliportal.com.
Clinical Epidemiologist Job at Aga Khan
CLINICAL EPIDEMIOLOGIST, MEDICAL COLLEGE As a faculty member in the Department of Population Health the candidate will have research and educational responsibilities to support teaching and research at the undergraduate, graduate and postgraduate levels across the disciplines of health sciences. The candidate will support faculty and trainees across clinical disciplines and within the discipline of epidemiology and biostatistics.… Read More »
The post Clinical Epidemiologist Job at Aga Khan appeared first on Udahiliportal.com.
Driver Trainer Tanzania Job at Alistair Group
Driver Trainer Tanzania 1. Overall Purpose To support Alistair Logistics operations such that objectives are met at the required work performance standard and in accordance with company behaviours and values. To manage liabilities to ensure legislative compliance and achievement of best practice to meet corporate objectives. Ensure compliance with company policies and procedures and relevant Tanzanian legislation Actively… Read More »
The post Driver Trainer Tanzania Job at Alistair Group appeared first on Udahiliportal.com.
Finance Administrative Assistant at for Strategic Litigation’s (CSL)
Finance Administrative Assistant Zanzibar City, Mjini Magharibi, Tanzania The Center for Strategic Litigation’s (CSL) accounting department works with a multitude of parties in ensuring the processes of accounting and financing of programme funds is ever innovative and reliable. At CSL, we don’t just accept difference, we celebrate it, we support it, and we thrive on it for the… Read More »
The post Finance Administrative Assistant at for Strategic Litigation’s (CSL) appeared first on Udahiliportal.com.
Picha : UNDER THE SAME SUN YATAMBULISHA MRADI WA CFLI KUSAIDIA WANAWAKE WENYE UALBINO NA WANAWAKE WENYE WATOTO WENYE UALBINO SHINYANGA
WANAFUNZI CHUO KIKUU WATOA WARAKA BAADA YA KUKERWA BEI YA VYAKULA KUPANDA CHUONI
Acacia Kuondolewa Soko la Hisa Dar es Salaam
Meneja Miradi wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Emmanuel Nyalali, amesema kampuni hiyo ambayo imedumu katika soko hilo kwa miaka 8 ikiorodheshwa tangu Desemba 2011, ilifutwa katika Soko la Hisa la London Uingereza (LSEG) tangu Septemba mwaka huu, hivyo utaratibu wote umefuatwa.
“Tangu Septemba 2019 Acasia ilikuwa imeshafutwa kwenye soko la Hisa la London (LSEG), ambalo ndio soko lake mama, hivyo taratibu zilikuwa zinamaliziwa tu na Ijumaa iliyopita Bodi ya DSE ilitoa maamuzi hivyo kuanzia leo kampuni hiyo inafutwa kwenye orodha ya makampuni kwenye DSE'', amesema Nyalali.
Awali kampuni hiyo ilikuwa inajulikana kama African Barrick Gold (ABG) kabla ya kubadili jina na kuitwa Acacia Novemba 2014.
MUWSA WAMUOMBA WAZIRI WA MAJI ,PROF MAKAME MBARAWA KUSAIDIA KUKUSANYA MADENI YA MAJI KWA TAASISI ZA SERIKAL
Waziri wa Maji ,Prof Makame Mbarawa akizingumza wakati wa uzinduzi wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) .
Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya MUWSA waliomaliza muda wao na wale wapya wakifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa katika hafla hiyo.
Katibu Mkuu Wizara ya Maji,Prof Kitila Mkumbo akizungumza wakati wa kutamburisha wajumbe wapya wa Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA)
Baadhi ya Wafanyakaziw wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) wakifuatilia kwa karibu hotuba zilizokuwa zikitolewa katika hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya .
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ,Moshi aliyemaliza muda wake ,Prof Faustine Bee akizungumza wakati akitoa taarifa ya Bodi iliyomaliza muda wake na kukabidhi kwa Bodi mpya .
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro,Patrick Boisafi akizungumza wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA).
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ,Moshi aliyemaliza muda wake ,Prof Faustine Bee (kulia ) akikabidhi nyaraka za Bodi hiyo kwa Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya MUWSA ,Prof Jafari Kidegesho mara baada ya Waziri kuizundua rasmi mjini Moshi
Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Prof Makame Mbarawa akikabidhi vitendea kazi kwa Mwenyekiti wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ,(MUWSA) ,Prof Jafary Kidegesho wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo ulifanyika zilipo ofisi za MUWSA
Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Prof Makame Mbarawa akikabidhi vitendea kazi kwa katibu wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ,(MUWSA) ,Mhandisi Aron Joseph ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo .Hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo umefanyika zilipo ofisi za MUWSA
Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi ,Joyce Msiru ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo ,akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Maji,Prof Makame Mbarawa mara baada ya Bodi hiyo kumaliza muda wake.
Waziri wa Maji ,Prof Makame Mbarawa akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi ,(MUWSA) mara baada ya kuizindua .
Waziri wa Maji ,Prof Makame Mbarawa akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira ,Moshi waliomaliza muda wao ,tukio hili limefanyika wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya ya Mamlaka hiyo.
Waziri wa Maji ,Prof Makame Mbarawa akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi ,(MUWSA) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya ya Mamlaka hiyo. 














