Wednesday, 12 November 2014

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA WATAKAOSOMESHWA BURE NA WIZARA YA AFYA 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                         Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG yafuatayo ni majina ya wanafunzi watakaosomeshwa bure mwaka wa masomo 2014/2015 Tunaendelea kutoa huduma...
Share:

Monday, 10 November 2014

HAPPY BIRTHDAY BROTHER MDUMA,MUNGU AKUJALIE MIAKA MINGI TELE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Ilikuwa ni siku ya jumapili tarehe 09/10/2014 ambapo brother Mduma alikuwa na furaha ya ajabu baada ya kuzaliwa upya                                 ,na kuamua kufanya sherehe kwa kuwakaribisha...
Share:

MPYA:HII HAPA ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOHAMISHWA MWEZI OCTOBER 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA WAZIRI MKUUTAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAATANGAZO:                                ...
Share:

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA N A JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                                                  Habari yenu wadau wetu wa blog hii pendwa...
Share:

Saturday, 8 November 2014

BREAKING NEWZ:UCHAGUZI MKUU TANZANIA FOOD AND NUTRITION STUDENTS ASSOCIATION(TAFONUSA) UMEMALIZIKA NA KUFANIKIWA KUPATA VIONGOZI WAPYA.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Wanafunzi wa chuo kikuu cha SOKOINE  departiment ya FOOD SCIENCE AND TECHNOLOGY mapema leo hii wamefanya uchaguzi mkuu ili kupata viongozi watakaoongoza chama hicho mwaka wa 2014/2015. Katika uchaguzi huo kulikuwa na nafasi tano zilizigombaniwa ambazo ni MWENYEKITI,MAKAMU...
Share:

Thursday, 6 November 2014

MPYA:MOJA YA KIKAO CHA FOOD SCIENCE AND TECHNLOGY -SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE WAKIJADILI JAMBO

Mapema leo hii kulikuwa na kikao cha vijana wenye heshima ya pekee NCHINI HAPA TANZANIA vijana wa chuo cha KILIMO SOKOINE wanaosomea SAYANSI YA CHAKULA,Kuhusu mamabo yanayowahusu kama darasa,kilichofanyikia departiment ya ENGINEERING mnamo mida ya saa tisa arasili,na kujumuisha wajumbe takribani 98,mwaka...
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WAKUUWA MIKOA NA WILAYA WAPYA NA MIKOA/WILAYA WALIZOPELEKWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Taarifa kwa Vyombo vya Habari Uteuzi mpya na uhamisho wa wakuu wa mikoa na makatibu wakuu wa wizara Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu...
Share:

BREAKING NEEWZ:SERIKALI YAONGEZA MAJINA MENGINE MENGI YA KIDATO CHA NNE WATAKAOJIUNGA SPECIAL PROGRAMME UDOM 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Habari yenu,chuo kikuu cha dodoma kimetangaza majina ya wanafunzi wengine watakaojiunga na mafunzo ya ualimu special programme udom mwaka wa masomo 2014/2015,hata hivyo zimebaki takribani siku mbili tu vijana hao waanze masomo yao,hivyo basi MASWAYETU BLOG TEAM tunakuomba...
Share:

Wednesday, 5 November 2014

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA WATAKAOSOMESHWA BURE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                         Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG yafuatayo ni majina ya wanafunzi watakaosomeshwa bure mwaka wa masomo 2014/2015 Tunaendelea kutoa huduma...
Share:

BREAKING NEWEEZ:MATOKEO YA DARASA LA SABA YATANGAZWA RASMI 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                               Habari yenu wadau wapendwa wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT mu wazima wa afya?leo tena...
Share:

Tuesday, 4 November 2014

HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WOTE KIDATO CHA NNE WALIOKOSA NAFASI ZA KUJIUNGA NA UALIMU NGAZI YA CHETI,SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY NG'WANZA TEACHERS COLLEGE CHUO PEKEE KINACHOPOKEA WANAFUNZI WA CHETI 2014/2015 Habari yenu wadau wapendwa wa BLOG HII YA MASWAYETU leo tunawaletea taarifa njema kwa watu wote wanaotaka kujiunga na ualimu ngazi ya cheti na wanataka kujiunga,basi Chuo cha NG'WANZA KILICHOPO MASWA SIMIYU ni chuo pekee kinachoendela kupokea wanafunzi wote waliokosa nafasi kujiunga na cheti kwa...
Share:

UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya washiriki wa mkutano Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 (kwa...
Share:

BREAKING NEWZ: ADOPTION OF NATIONAL CURRICULA FOR CERTIFICATE AND ORDINARY DIPLOMA PROGRAMMES

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Please be informed that NACTE is issuing curricula for six programmes namely; Accountancy (NTA Levels 4 – 6); Business Administration (NTA Levels 4 – 6); Community Development (NTA Levels 4 – 6); Computing and Information Technology (NTA Levels 4 – 6); Procurement and Supply...
Share:

TANGAZO KWA UMMA KUTOKA UDOM :KUWENI MAKINI WATU HAWA,SI WAFANYAKAZI WA UDOM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY    TAARIFA KWA UMMA    BWANA CHRISANTUS LUCAS MILANZI Bwana Chrisantus Lucas Milanzi, mzaliwa wa Masasi Mtwara, ambaye picha yake inaonekana hapo juu, si mwajiriwa wa Chuo Kikuu cha Dodom...
Share:

END OF CENTRAL TRANSFERS FOR ALL APPLICANTS WHO HAVE BEEN SELECTED TO JOIN VARIOUS UNDERGRADUATE PROGRAMMES FOR THE 2014/2015 ACADEMIC YEAR

            Tanzania Commission for Universities                                                ...
Share:

Monday, 3 November 2014

Bad News_MWANAFUNZI AFARIKI AJIKIANDAA KUFANYA MTIHANI WA FORM FOUR LEO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Habari tulizozipata hivi punde kutoka mkoani Simiyu ni kwamba mwanafunzi aliyefahamika kwa jina la Yunis Festo aliyekuwa anasoma kidato cha nne katika shule ya sekondari Simba wa Yuda iliyoko katika kijiji cha Bulima wilaya ya Busega amefariki dunia . Yunis Festo...
Share:

Saturday, 1 November 2014

MASWAYETU BLOG TEAM INAKUTAKIENI MITIHANI MEMA KIDATO CHA NNE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Jumatatu ijayo tarehe 03/11/2014 wanafunzi wa kidato cha nne wanakwenda kuanza mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne. Hii ni hatua muhimu sana kwenye maisha yao kwani ndio itapelekea ndoto zao nyingine kuwa kweli. Kama mwananfunzi ana ndoto ya kuwa injinia, rubani, daktari au mwalimu, mitihani hii ni muhimu kwake kufaulu ili kuweza kuendelea na masomo yako. Hapa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger