INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Argentina ilikuwa imetoka sare tasa baada ya muda wa kawaida na ule wa Ziada na hivyo kulazimu mechi hiyo kuamulia kwa mikwaju ya penalti.
Kipa wa Argentina Sergio Romero ndiye aliyekuwa nyota katika mechi hiyo baada ya kuokoa mikwaju miwili na kuipa Argentina Ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Uholanzi.

Kipa wa Argentina Sergio Romero alikuwa Nyota wa mechi hiyo
Argentina imejukatia tikiti ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka wa 1990 ambapo itachuana Ujerumani.Argentina ilikuwa imetoka sare tasa baada ya muda wa kawaida na ule wa Ziada na hivyo kulazimu mechi hiyo kuamulia kwa mikwaju ya penalti.
Kipa wa Argentina Sergio Romero ndiye aliyekuwa nyota katika mechi hiyo baada ya kuokoa mikwaju miwili na kuipa Argentina Ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Uholanzi.
BABA
wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba,
Charles Kanumba ameibuka na kumtaka mama Kanumba, Flora Mtegoa kuacha
tabia ya kuombaomba michango mbalimbali.
Na Mwandishi Wetu
Stori: Waandishi Wetu







Watu wawili wamekufa katika ajali ya barabarani iliyotokea leo katika kijiji cha kwang’andu kata ya mbwewe mkoani PWANI.