Friday, 27 June 2014

WABUNGE WANUKA RUSHWA-DODOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
bunge2 c927e

WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha.
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA

1_fbc8c.jpg
Share:

Thursday, 26 June 2014

SUAREZ AADHIBIWA MIEZI MINNE na MECHI TISA NJE,BAADA YA KUMN'GATA MCHEZAJI MMWENZAKE


suarez
Habari za hivi punde zinasema kuwa FIFA imemuadhibu Suarez kwa kumfungia mechi tisa
Share:

MAZISHI YA SISTA ALIEUWAWA KWA KUPIGWA RISASI UBUNGO YAFANYIKA ANGALIA PICHA ZOTE HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

USAJILI MAN UNITED:HERRERA ATUA MAN UNITED, AKABIDHIWA JEZI.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao.
Share:

DOWNLOA WIMBO MPYA WA LINA NA HADIJA- MKE MENZANGU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMOND AKIIMBA TAARAB

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD>>
Share:

NGUMI BUNGENI:JAJI WEREMA AMFANANISHA MBUNGE KAFULILA NA TUMBILI TAFRANI YAIBUKA, MAWAZIRI WAINGILIA KATI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
Share:

ANGALIA PICHA YETU YA SIKU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY      MASWAYETU BLOG
Share:

VYUO VIKUU VINAVYOONGOZA KWA UTOAJI WA ELIMU BORA TANZANIA(GRADUATES)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://4.bp.blogspot.com/-obRp0pUhVv4/UAKkTh1KKZI/AAAAAAAAQN8/KncwExHve-M/s1600/udsm.jpg


Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia  zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.


Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.

  Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
 1  University of Dar es Salaam . (UD)

 2  Sokoine University of Agriculture (SUA)

 3  Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)

Share:

UKWELI KUHUSU MH.SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA KUZUSHIWA KIFO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
index

TAARIFA TOKA BAGAMOYO


Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na
Share:

MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA JANA MKOANI GEITA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY




Share:

SCHOLARSHIPS FROM THE GOVERNMENT OF THE DEMOCRATIC PEOPLE’S REPUBLIC OF ALGERIA TENABLE IN ACADEMIC YEAR 2014/2015, [RE - ADVERTISED]

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                         
Applications are invited from qualified Tanzanians to pursue Undergraduate degree programs in Algeria for the year 2014/2015. The medium of instruction is French.

FIELDS OF STUDY
  • Medicine
  • Economic, Management and Commercial Sciences.
  • Mathematics and Computer science
  • State Engineer in Telecommunications
  • Science and Technology (Environmental Engineering)
  • Science and Technology (Architecture)
  • Science and Technology (Hydrocarbons and Chemistry)
  • Science and Technology ( Electronics)
  • Science of Earth and Universe (Hydrogeology)
  • Science of Nature and Life (Food Industry)
  • Science of Nature and Life (Biology and physiology of Organism)
  • Science of Nature and Life (Ecology and Environment)
  • Matter Sciences (Chemistry)
  • Matter Sciences (Physics)
  • French Language
Share:

RATIBA YA HATUA YA 16 BORA -KOMBE LA DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

DAKTARI AKUTWA AKITAKA KUMTOA MIMBA MWANAFUNZI-DAR ES SALAAM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Stori: Waandishi wetu KABAANG! Dokta mmoja aliyefahamika kwa jina la Herman amenaswa katika dispensari moja iliyopo Buguruni Kwamnyamani jijini Dar akijiandaa kumtoa mimba mwanafunzi.
Share:

WATOTO WAWILI WALIPULIWA BAGAMOYO-WAZIKWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

WATOTO wawili wa familia moja, Nuru (3) na Dora  Kaitaba (2), wamefariki dunia kwa kuungua moto hadi kubaki majivu baada ya moto mkubwa uliotokana na petroli kulipuka nyumbani kwao, Mapinga, Bagamoyo mkoani Pwani.
Share:

JACK PATRICK AFYA YAKE SI NZURI GEREZANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

UNAWEZA kusema ni majanga juu ya majanga yanazidi kumkumba modo wa Bongo, Jacqueline Patrick ‘Jack’ baada ya wiki iliyopita kushindwa kupanda kortini kufuatia kutetereka kwa afya yake bila kufafanuliwa.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger