Sunday, 1 June 2014

RADA YADONDOSHWA NA WACHAWI-USIKU,SOMA HAPA

Rada na matunguri yanayosadikiwa kuangushwa usiku na wachawi kutoka angani vimezua tafrani la aina yake jirani na kanisa la kilokole, Risasi Jumamosi lina mzigo kamili. Mwinjilisti ambaye jina lake halikufahamika mara moja akikagua vifaa vya wachawi baada ya kuangushw...
Share:

HII HAPA TAARIFA KAMILI YA JESHI LA POILISI-KUHUSU MUME WA FROLA MABASHA(UBAKAJI)

Jeshi la Polisi limethibisha kupokea tuhuma za ubakaji dhidi ya mume wa mwimbaji wa injili Flora Mbasha anayefahamika kwa jina la Emmanuel Mbasha...
Share:

MONALISA AFUNGUKA KUHUSU KIFO CHA MUMEWE-TSON

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Monalisa amemlilia Tyson kwa kuandika yafuatayo:...
Share:

MUME WANGU HANIRIDHISHI KITANDANI,NIFANYEJE?

Nimeolewa miezi miwili iliyopita. Kabla sijaolewa huyu jamaa tulikuwa tunakutana mara chache chache sana. Na tulijuana miaka mitatu kabla ya ndoa.Na pia kwa kipindi chote tulikuwa tukis3x akipiga moja ya km dk 10 akimwaga ndio imekwisha hajawahi kurudia, ni mpaka labda kesho tena...
Share:

MDADA MWINGINE AJIANIKA NUSU UCHI-ANGALIA HAPA

Mavazi mengine jamani ni balaa cheki huyu dada alivyo vyaa yaani ni nusu uchi,picha zipo chini hapo bofya kuangalia yaani ni bal...
Share:

VILIO VYATAWALA BAADA YA ,MWILI WA MAREHEMU GEORGE TYSON KUWASILI KAIRUKI

Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa George Tyson kuupeleka mochwar...
Share:

RAY C ATAMANI PENZI LA BABU KIZEE-ACHOSHWA NA VIJANA

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia 60. Akizungumza katika kipindi cha ‘The Sporah Show’, Ray C alisema anahitaji wanaume wa umri mkubwa,...
Share:

MASKINI :MTOTO ALIYEKUWA AMEFICHWA NDANI YA BOKSI KWA MIAKA 4 AANZA KUPUMULIA MSHINE

MTOTO Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne mkoani Morogoro, sasa anaopumulia mashine  katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .Nasra, alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, alipohamishiwa Mei 26 mwaka huu kwa ajili ya uchunguzi zaidi akitokea katika Hospitali...
Share:

Saturday, 31 May 2014

HATIMAE SUA WASAINI BOOM-INJINIA WAONGOZA JAHAZI WENGINE WAFATA

HATIMAE WANAFUNZI WA SUA WAFURAHI BAADA YA KILIO CHA MDA MREFU KUHUSU KUSAINI BOOM LAO(FEDHA YA CHAKULA NA HOSTEL) HILO NIMELISHUHUDIA LEO ASUBUHI MAENEO YA MULTIPURPOSE SUA AMBAPO NILIKUTA WATU WAKIWA KWENYE FOLENI YA KUSAINI. PONGEZI ZA DHATI ZIMWENDEE AFISA MIKOPO WA CHUO HICHO KWA KUPIGA KUFAKUPONA HADI ALIPOPATA MAJINA HAYA. ANGALIA PICHA CHINI KWA MATUKIO ZAIDI ILIVYOKUWA LEO A...
Share:

Breaking News:Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni Baada ya CCM Kuilinda Wizara ya Nishati na Madini

Jioni hii katika bunge la Bajeti Mweshimiwa Mbowe ameongoza kambi ya Upinzani kutoka Bungeni kwa kila anachodai wabunge wa CCM wanajaribu kuficha uovu wa...
Share:

Hivi Toka Sugu Amekua Mbunge ni Kitu Gani Alishawahi Kuwafanyia Wasanii wa Taifa Hili?

Msanii wa Leka Dutigite, Linex Sunday Mjeda amefunguka na kudai kuwa hajaona mchango wa mbunge Joseph Mbilinyi aka Sugu kwa wasanii wa muziki......
Share:

KUMRADHI PICHA ZINATISHA SANA: DEREVA BODABODA AUAWA KIKATILI NA MAJAMBAZI KWA KUCHINJWA SHINGO...FUNGUA HAPA.

Picha jinsi alivyochinjwaJeshi la Polisi Wilayani Mpanda Mkoa wa Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuuwa dereva Bodaboda mmoja aitwaye Frenk Joseph (25)mkazi wa mtaa wa Nsemlwa Wilayani Mpanda Mkoa wa Katavi kwa kumchinja shigo na kisha kumpora pikipiki yake aina ya SANLG...
Share:

TUMEFANIKIWA KUZIPATA PICHA ENZI ZA UHAI WAKE ZA MWANAFUNZI ALIYEFARIKI KATIKA HOSTEL ZA CHUO KIKUU MLIMANI (UDSM)

ENZI ZA UHAI WAKE.....
Share:

PICHA ZA UTUPU ZA LADY JAY DEE, KATIKA JARIDA LA VIBE..JIONEE UTAMU WA JAY DEE

Hizi hapa picha za Lady JayDee zakwenye jarida la VIBE zinazoleta zogo Mwimbaji na Mwanamuziki wa Bongo Flevaambaye anatikisa hapa Tanzania kwa vibao mbali mbaliJudith Wambura aka LadyJay Dee amepost picha kwenye mitandao ya kijamii ambazo zita kuwepo kwenye...
Share:

MAKUBWA..!! KIJANA ANAEDAIWA KUWA NI MSUKULE,AONEKANA NJE YA NYUMBA YA KIKONGWE ALIYEUAWA KWA USHIRIKINA,NI SIKU MOJA BAADA YA MAZISHI YA KIKONGWE HUYO

Kijana Ndaki Samola akiwa amepandishwa ndani ya gari lapolisi kwa ajili ya kupelekwa kwa wataalamu ili kufanyiwauchunguzi kama ana matatizo ya akili. Katika hali isiyokuwa ya kawaida mamia ya wananchi wa kijiji cha Ilebelebe kata ya Itilima wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wamefurika...
Share:

Pigo jingine kwa bongo movie,Mwongozaji wa filamu maarufu nchini George Tyson Afariki dunia kwa ajali ya gari Morogoro

Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema mongozaji wa filamu maarufu nchini George Otieno Tyson (Pichani) amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Morogor...
Share:

PICHA CHAFU, JAMAA AWEKA PICHA ZA MPENZI WAKE MTANDAONI KISA AMEPIGWA KIBUTI

  Wimbi la picha za uchi lazidi kushika kasi katika mitandao ya kijami,cheki jamaa ameweka picha za mpenzi wake kisa ameachwa na mpenzi wake PICHA HAPO CHINI <<BOFYA HAPA PICHA1>> <<BOFYA HAPA PICHA2>>...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger