Kambi
Rasmi ya Upinzani Bungeni jana ilimlipua mbunge kutoka kambi yao, Zitto
Kabwe ikimhusisha na ufisadi wa Sh119 milioni kutoka Shirika la Taifa la
Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).
Hii ni
mara ya kwanza kwa kambi ya upinzani kumhusiaha mbunge...
Spika wa
Bunge, Anne Makinda amesema muda wa Bunge utaongezwa ili kutoa nafasi
kwa serikali kuwasilisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kodi ya
Mapato (VAT)...
Haya
niliyapata kutoka kwa mshauri wa masuala ya mahusiano, ndoa na vijana
Frederick Kyara. Hizi ni baadhi tu nakuwekea hapa japo kuna vitu pia
wanawake hawavipendi kutoka kwa wenzi wao wanaume. Nayo ni haya hapa, ungana nami kujadili jambo hili ambalo kwangu nimeona ni changamoto...
Msanii
kutoka Tanzania House of Talent Msami Giovanni ambaye kwa wakati huuana
hit na ngoma yake ya Sound Track kwa wakati huu inasemekana eti yuko
katika dimbwi zito la mahaba na muigizaji maarufu wa Bongo Movie Irene
Uwo...
Kupitia You heard ya XXL Clouds FM ilikua ni stori kuhusu
uhusiano wa Msami wa THT na mwigizaji toka Bongo Movie Irene Uwoya na
jana alisikika Msami ambaye alikanusha uhusiano lakini mpenzi wake
Rehema aliweka wazi kuwa ni kweli Msami ana uhusiano wa kimapenzi na
Irene Uwoya.
Sasa
...
Nasikitika kwamba katika hali niliyonayo ya kumwuguza mama yangu naingizwa kwenye siasa za majitaka.
Kampuni ya LekaDutigite inamilikiwa na
wasanii. Gombe Advisors ni kampuni isiyofanya faida (Company limited by
guarantee) na haina maslahi yeyote ya kibiashar...
AMA kweli
dunia ina mambo na mambo yenyewe ndiyo haya! Katika hali ya kushangaza,
mwanaume aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Ally, mkazi wa Kata ya
Mbuyuni Manispaa ya Morogoro amewashangaza wengi kufuatia uamuzi wake wa
kukodi ngoma ya asili kwa lengo la kwenda kumfumania mkewe
aliyejulikana...
KHAA! Katika hali ya kushangaza, dada wa
kazi za nyumbani (hausigeli) mkazi wa Tabata jijini Dar aliyetambulika
kwa jina moja la Aneth, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudai
kuwa bosi wake ambaye ni Mzungu amemlazimisha kufanya mapenzi na mbwa
wake.
Mapolisi wakiwa wametinga...
MSANII wa filamu Bongo, Elizaberth
Michael ‘Lulu’ hivi karibuni aliwashangaza watu baada ya kuvukwa na
gauni alilokuwa amevaa na kulazimika kutembea huku sehemu kubwa ya kifua
chake ikiwa wazi.Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kiwanja
kimoja kichopo mjini Arusha ambapo mmoja wa...
MAJANGA! Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo
Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na muigizaji Adam Haji ‘Baba Haji’
nusura wazichape baada ya kupishana kauli.
Mwenyekiti wa Bongo Muvi, 'Steve Nyerere' (aliyeshika chupa ya maji) akilia kwa uchungu katika msiba wa Recho.
‘Uwanja wa vita’ ulikuwa...
KIFO cha msanii wa filamu, Rachel Haule
kimewaumiza wengi lakini baadhi yao ni wasanii wenzake, Halima Yahaya
‘Davina’ aliyeachiwa hausigeli wa marehemu katika mazingira ya ajabu
huku Wastara Juma akiumizwa na viatu na pochi alivyopewa na Rachel kabla
hajafariki dunia.
Msaniii wa Bongo...
Tulieleza
jinsi wabunge 55 walivyotaka kuirudisha Serikali ya Tanganyika na jinsi
baadhi yao ‘walivyonyamazishwa’ kwa kupewa uwaziri na Mwalimu Julius
Nyerere alivyozima hoj...
BAADHI
ya viongozi wa dini nchini wamesema kwamba Watanzania wengi wamekuwa na
imani na mambo ya kishirikina wakiamini kuwa wanaweza kubadili maisha
kwa njia ya kuwa wanachama wa Imani ya Freemason badala ya kutumia akili
huku wakiweka imani kwa Mung...
LILE
penzi la msanii wa filamu na mtangazaji, Lulu Mathias na mchezaji mpira
wa zamani, Amani limesambaratika baada ya hivi karibuni mwanaume huyo
kuondoka na kilicho chake huku akimwacha mwanadada huyo ndani ya nyumba
peke yak...