Monday, 10 November 2025

WANAHARAKATI WASAMBAZA TAARIFA POTOFU KUCHAFUA HAIBA YA MTU

...
Kupitia Mitandao ya Kijamii hasa Mtandao wa X (zamani Twitter) baadhi ya Watu wakiwepo wanaojiita Wanaharakati wameonekana wakisambaza picha zenye mfumo wa “screenshot” kumhusisha ndugu Abdul Ameir  Wakimhusisha na vitendo vya uvunjifu wa maadili na kutumia Lugha chafu kuandika jumbe mbalimbali, taarifa ambazo  ni wazi zinalenga kupotosha umma.

Wanaosambaza upotoshaji huo asilimia kubwa ni wale ambao wamekuwa wakiipinga Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivyo wanafanya hivyo wakiwa na lengo la kuichafua Serikali kutokana na kuhusisha taarifa hizo na mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan.

 

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger