Wednesday 1 February 2023

MKUU WA WILAYA MPYA KAHAMA MBONI MHITA AAPISHWA

...
Mkuu wa wilaya mpya ya Kahama mkoani Shinyanga Mboni Mhita akila kiapo leo Februari 1, 2023 kuitumikia nafasi hiyo mara baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuwa Mkuu wa wilaya ya Kahama kuchukua nafasi ya aliyekuwa Mkuu wa wilaya hiyo Festo Kiswaga.
Mkuu wa wilaya mpya ya Kahama mkoani Shinyanga Mboni Mhita akila kiapo leo Februari1, 2023 kuitumikia nafasi hiyo mara baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mkuu wa wilaya ya Kahama kuchukua nafasi ya aliyekuwa Mkuu wa wilaya hiyo Festo Kiswaga.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger