Saturday 18 February 2023

MWANDISHI WA HABARI EDWIN SOKO ATEULIWA KUWA MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA TMFD

...


Taasisi ya Tanzania Media for Maritime and Fisheries Development (TMFD) inayofanya kazi katika eneo la vyombo vya habari na uvuvi hapa Tanzania imepata Mkurugenzi wake mpya.


Mwandishi wa habari mkongwe Bwana Edwin Soko ameteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya wa taasisi hiyo.


Uteuzi huo umetangazwa kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya (TMFD) Bwana Tumaini Mbibo jana Februari 17, 2023 na uteuzi huo umeanza rasmi jana.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger