Monday 20 February 2023

AMUUA KWA RISASI MKE WAKE WA ZAMANI NA WENGINE WATANO

...

Mwanaume mmoja aliyekuwa na bunduki tatu amempiga risasi mke wake wa zamani na watu wengine watano wakati wa ghasia katika mji mdogo wa vijijini katika jimbo la Mississippi nchini Marekani.

Polisi wanasema Waathiriwa waliuawa katika maeneo kadhaa, ikiwa ni pamoja na duka na nyumba mbili, huko Arkabutla, ambapo kuna jamii ya watu wasiozidi 300.

Polisi wamemfungulia mashtaka mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 52 kwa mauaji ya kiwango cha juu na anashikiliwa katika gereza la kaunti hiyo.Hakuna sababu ya shambulio lake hadi sasa
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger