Wednesday 7 December 2022

YANGA SC YAJICHIMBIA KILELENI, YAIFUMUA NAMUNGO FC 2-0

...




NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Yanga imefanikiwa kuichapa Namungo Fc kwa mabao 2-0, mechi ambayo imepigwa katika dimba la Majaliwa mkoani Lindi.

Mabao ya Yanga yamefungwa na Yannick Bangala dakika 40 na bao la pili likifungwa na Tuisila Kisinda dakika ya 83 ya mchezo.

Ushindi huo wa Yanga sc umewafanya kuwaweka nafasi nzuri ya juu wakiwa na pointi 38 akifuatiwa na Simba mwenye pointi 34.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger