Tuesday 20 December 2022

FERNANDEZ MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI KOMBE LA DUNIA 2022

...

Mchezaji anaekiputa kwenye klabu ya Benfica ya nchini Ureno na timu ya Taifa ya Argentina Enzo Fernandez ametangazwa kuwa mchezaji bora kijana michuano ya Kombe la Dunia 2022 iliyomalizika kwa timu ya Taifa ya Argentina kuibuka washindi na kunyakua kombe hilo mbele ya mabingwa watetezi Ufaransa.

Fernandez ameweza kuisaidia timu yake ya Taifa kubeba kombe hilo akiwa pia na mabao manne kwenye michuano hiyo.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger