Saturday 17 September 2022

TBS YAENDELEA NA ELIMU KWA UMMA ILEMELA

...
Mkaguzi (TBS), Bw. Nelson Mugema akitoa elimu kuhusu umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora na usalama wake na TBS sambamba na kuzingatia muda wa mwisho wa matumizi wa bidhaa kwa wananchi waliokuwepo katika gulio la kona ya bwiru wilayani Ilemela, wakati wa kampeni ya elimu kwa umma katika ngazi ya wilaya mkoani Mwanza. Mkaguzi (TBS), Bw. Nelson Mugema akitoa elimu kuhusu umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora na usalama wake na TBS sambamba na kuzingatia muda wa mwisho wa matumizi wa bidhaa kwa wananchi waliokuwepo katika gulio la kona ya bwiru wilayani Ilemela, wakati wa kampeni ya elimu kwa umma katika ngazi ya wilaya mkoani Mwanza.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger