Thursday 15 September 2022

MAMA AJIUA KWA MADAI YA KUZIDIWA NA MADENI YA VIKOBA

...
Mkazi wa Kihesa Kilolo mkoani Iringa, Enea Mkimbo (55) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia kitenge kwa madai ya kuzongwa na madeni ya Vikoba.

Inadaiwa Septemba 13, 2022 wanakikundi wenzake walienda nyumbani kwake kudai madeni na ilipofika jioni akamuaga mumewe, Edward Sanga kuwa anakwenda nyumbani kwa mama yake mzazi na badala yake aliingia jikoni na kujitundika kitanzini hadi kufa.

Via Mwananchi
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger