Thursday, 30 June 2022

OJADACT YAADHIMISHA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA NA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU

Mwandishi wetu - Mwanza. Chama Cha Waandishi wa Habari wa Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya na Uhalifu Tanzania (OJADACT )kwa kushirikiana na ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza imeadhimisha siku ya kupiga vita dawa za kulevya na usafirishaji haramu wa binadamu kwa kuwahimiza waandishi...
Share:

Wednesday, 29 June 2022

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JUNI 30,2022

...
Share:

NAIBU WAZIRI MASANJA AKUTANA NA WATENDAJI WA KAMPUNI YA REO YA HONGKONG YA UTANGAZAJI WA MAENEO YA UWEKEZAJI

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza na watendaji wa kampuni ya REO Communications kuhusu kutangaza maeneo ya uwekezaji ya kitalii jijini Dodoma leo. *********************** Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amekutana na kufanya...
Share:

MAFUNZO YA UJUZI TEPE KWA MAKUNDI MAALUMU YA VIJANA YAZINDULIWA RASMI SHINYANGA…WAPEWA MBINU ZA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Beda Chamatata akizungumza wakati akizindua Mafunzo Tepe (Soft Skills) kwa Makundi Maalumu ya Vijana Wenye Ulemavu, wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (WAVIU) na Wamama Wadogo (Young Mothers) yanayohusu masuala ya Ujasiriamali, Usimamizi wa Biashara, Kujitambua,...
Share:

UTEKELEZAJI WA MRADI WA TIMIZA MALENGO KUDHIBITI VVU KWA VIJANA BALEHE.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene. Na Dotto Kwilasa,DODOMA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene amesema Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi na mashirika ya kimataifa kuhakikisha inafikia...
Share:

Tuesday, 28 June 2022

SHULE AMBAYO WANAFUNZI WAVULANA WANAVAA NGUO KAMA SKETI

Wanafunzi wa kiume wakiwa katika monekano wa kike baada ya kuvaa sketi ** NYAKASURA ni shule ya mchanganyiko ya bweni, ya kata ya upili iliyopo huko magharibi mwa nchi ya Uganda ambayo wanafunzi wa kiume wanavaa sare za ‘Kilt’ zenye muonekano wa sketi. Unaambiwa shule hiyo ilianzishwa miaka 96...
Share:

MKURUGENZI WA MAWASILIANO YA RAIS, IKULU BI. ZUHURA YUNUS AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Bi. Zuhura Yunus akizungumza na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari kuhusiana na Mafanikio ya Ziara Rasmi ya Kiserikali iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan nchini Oman hivi karibuni. Mkutano...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger