Thursday, 30 September 2021

SEMA SINGIDA YAZINDUA MRADI WA KILIMO BIASHARA

Mkuu wa Wilaya ya  Manyoni Rahabu Mwagisa akizindua mpango wa uboreshaji wa maisha ya jamii kupitia mradi wa "Kilimo Biashara" unaosimamiwa na Shirika la SEMA mkoani Singida. Na Edina Malekela,Singida MKUU wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge amesema Mkakati wa kitaifa wa kuondoa umaskini...
Share:

Chui auawa baada ya kujeruhi wanne Wilaya Ya Hai, Kilimanjaro

Watu wanne wamejeruhiwa na chui wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya chui huyo kuvamia zahanati ya Huruma iliyopo wilayani humo. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema chui huyo anayedaiwa kutoka Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro, alionekana majira ya asubuhi katika...
Share:

FCS YAZINDUA MPANGO MKAKATI MPYA KUSAIDIA WANANCHI... DKT. TENGA ATAKA ASASI ZA KIRAIA KUSHIKAMANA

Rais wa Taasisi ya Foundation For Civil Society (FCS) Dkt. Stigimana Tenga amezitaka Asasi za kiraia nchini kushikamana kwa pamoja na kuhakikisha wanazisemea kazi wanazofanya katika Taasisi zao ili ziweze kufahamika kwa wananchi na jamii kwa ujumla. Akizungumza wakati wa...
Share:

350 Jobs Opportunities at Tanzania Immigration Department (Ajira uhamiaji)

350 Jobs at Tanzania Immigration Department (Ajira uhamiaji) September, 2021. The Immigration Services Department is established under Section 4(1) of the Immigration Act of 1995 Chapter 54 as amended by Act No.8 of 2015.  It gives the Department the authority to control and facilitate immigration issues in the United Republic of Tanzania. The Department is […] This post 350 Jobs Opportunities...
Share:

Global Compliance Manager at Pathfinder

Pathfinder Overview   Pathfinder International is driven by the conviction that all people, regardless of where they live, have the right to decide whether and when to have children, to exist free from fear and stigma, and to lead the lives they choose. Since 1957, we have partnered with local governments, communities, and health systems […] This post Global Compliance Manager at Pathfinder...
Share:

JUA BANDIA KUFANYA KAZI MWAKA 2035

Picha ya mradi wa International Thermonuclear Experimental Reactor (ITER)  **** China ni miongoni mwa mataifa yaliyopiga hatua kwenye upande wa Teknolojia na hivi karibuni wameweka rekodi mpya baada ya kufanikiwa kutengeneza ‘Plasma’ ya nyuzi joto Milioni 120 kwa sekunde 101 na joto la Milioni...
Share:

General Trade Executive at TotalEnergies

Description Du Poste   HSEQ   Respect of the Golden rules and all the HSE rules and standards of TOTAL by all the staff, contractors, customers…   PLANNING   Implements the affiliate marketing strategy Participates in the development of affiliate marketing plans on General Trade on the basis of GT in the box master plan, […] This post General Trade Executive at TotalEnergies has...
Share:

6 Job Opportunity at Sikonge District Council and MDH

6 Jobs at Sikonge District Council and MDH September, 2021.   This post 6 Job Opportunity at Sikonge District Council and MDH has been posted by Udahiliportaldaily Get more post by visiting Udahiliportal.com know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet...
Share:

IT Officer Cum Software Developer at MDH

POSITION: IT Officer Cum Software Developer (1 Post)   LOCATION:        Dar es Salaam REPORTS TO:    IT Manager Job Summary:  IT Officer Cum Software Developer will be responsible to study existing systems and procedures and develop software applications to automate various MDH programmatic and operations activities. She/He will design and develop software...
Share:

Serikali Kuendelea Kuboresha Mazingira Ya Watu Wenye Ulemavu

NA MWANDISHI WETU, DODOMA SERIKALI imesema inaendelea na utaratibu wa kujenga na kukarabati vyuo vya watu wenye ulemavu kwa lengo la kuwasaidia wenye ulemavu kupata ujuzi ili kujikomboa kiuchumi. Akizungumza Jijini Dodoma baada ya kupokea msaada wa vifaa visaidizi kwa ajili ya wenye ulemavu vyenye...
Share:

HUYU NDIYO MTU MCHAFU KULIKO WOTE DUNIANI..HUYU ' MWAMBA' HAJAOGA ZAIDI YA MIAKA 60, ANAVUTA KINYESI KAMA SIGARA

Je, wewe huwa unapenda kuoga au hupendi kuoga. Kama hupendi kuoga basi nadhani leo utafarijika baada ya kufahamu kuwa yupo mtu asiyependa kuoga kuliko wewe. Unasema hupendi kuoga lakini huwezi kupitisha wiki bila kuoga, acha kutudanganya wewe unapenda kuoga. Kama hupendi kuoga kweli unaonaje miezi...
Share:

MZEE NATABAY AFARIKI AKIWA NA UMRI WA MIAKA 127...FAMILIA YAOMBA AINGIE KWENYE KITABU CHA GUINNESS WORLD RECORDS

Mzee mmoja aitwaye Natabay Tinsiew huko nchini Eritrea amefariki akiwa na umri wa miaka 127, familia yake imesema. Aidha familia hiyo imesema ina matumaini kwamba Natabay Tinsiew atapata nafasi ya kuandikwa kwenye kitabu cha Guinness World Records kama mtu aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi. "Uvumilivu,...
Share:

GGML YATOA MILIONI 800 KUKARABATI HOSPITALI YA RUFAA GEITA

Baadhi ya madaktari ambao ni wanachama wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), wakishirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya bure kwa wakazi wa mji wa Geita. Mpango huo maalumu wa siku tatu umefadhiliwa na GGML chini ya uratibu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita na chama hicho.  *** Na...
Share:

HUAWEI YAWAPIGA MSASA WATALAAM 19 WA TEHAMA KUENDANA NA MABADILIKO YA TEHAMA

Mwakilishi kutoka Huawei Tanzania, Yohana Mathias (kulia) akimkabidhi cheti Rweyemamu Barongo ambaye ni mmoja wa washiriki mafunzo ya uchakataji wa data kubwa yaliyotolewa jijini Dar es salaam na Kampuni ya Huawei Tanzania kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Tehama kwa muda wa siku saba. Kushoto...
Share:

KIJANA AUAWA KWA VISU KISHA KUNING'INIZWA JUU YA MTI WA MPARACHICHI

Kijana Melkezedik Robert mwenye umri wa miaka 35, mkazi wa kijiji cha Nyerezi, Arumeru mkoani Arusha, amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa umening’inizwa juu ya mti ya mparachichi. Mwenyekiti wa ulinzi wa wa Kitongoji cha Achi, aliyejitambulisha kwa jina moja la Agesmun, amesema walikuta mwili...
Share:

Retention Officer (RO) at MDH

POSITIION: Retention Officer (RO) (8 Posts)   LOCATION:        Geita, Kagera, Tabora and Dar es Salaam REPORTS TO:    District Project Manager/ Regional Retention Manager Job Summary: The Retention Manager (RO) is responsible for the day to day implementation of MDH’s retention and continuity of care programs and services. She/he work with Council Health […] This...
Share:

Community ART Officer (CAO) at MDH

POSITION: Community ART Officer (CAO) (8 Posts)   LOCATION:        Kagera, Geita & Dar es Salaam REPORTS TO:    District Community Services Manager (DCSM) Job Summary:  The Community ART Officer (CAO) is responsible for the day-to-day field implementation of MDH’s community ART program and services. She/He will work with the Council Health Management...
Share:

TAMISEMI: Call for Work at Benjamin Mkapa Foundation (BMF) Released Today 29th September, 2021 | Download All Names Here

Overview   The Benjamin William Mkapa Foundation (BMF) is a non- profit Trust, established in 2006 with the vision towards healthy lives and well-being for all, in Tanzania and the rest of Africa. Its strategic focused results areas include to combat HIV and AIDS, TB, Malaria and Reproductive, Maternal New Born, Child and Adolescent Health […] This post TAMISEMI: Call for Work at Benjamin Mkapa...
Share:

TB/HIV Officers at MDH

POSITION: TB/HIV Officers (6 Posts)   LOCATION:        Geita, Kagera & Tabora REPORTS TO:    TB/HIV Manager Job Summary:  The TB/HIV Officer works with and supports the MDH RTB-HIV Manager to ensure efficient implementation, M&E and reporting of TB/HIV services in her/his respective region including direct field coordination of key program priorities...
Share:

Maternal and Child Health (MCH) Officers at MDH

POSITION: Maternal and Child Health (MCH) Officers (7 Posts)   LOCATION:        Geita, Kagera, Tabora & Dar Es Salaam REPORTS TO:    Regional Maternal and Child Health (MCH) Manager Job Summary:  The Maternal and Child Health (MCH) officer works with and supports the MDH RMCH Manager to ensure efficient implementation, M&E and reporting...
Share:

Grants Manager at MDH

POSITION:   Grants Manager (1 Post)   LOCATION:   Dar es Salaam REPORTS TO:    Director of Grants and Compliance Job Summary:  Reporting to the Director of Grants and Compliance, the Grants Manager is responsible for overall oversight and coordination of donor engagement and proposal development. She/He will work with all other staff to develop and submit...
Share:

Wednesday, 29 September 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI SEPTEMBA 30, 2021

...
Share:

SERIKALI YADHAMIRIA KUENDESHA SEKTA YA SANAA KIBIASHARA

Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imedhamiria kuendesha sekta ya Sanaa kibiashara na kuongeza tija ikiwa ni pamoja na kuwezesha sekta hii kutumika kama nyenzo ya kuhamasisha na kuelimisha jamii kuhusu masuala ya kiuchumi,...
Share:

WAZIRI MHAGAMA AKAGUA MIFUMO YA USALAMA NA AFYA MGODI WA SHANTA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge,Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akikagua maeneo ya mgodi mpya wa dhahabu wa Shanta uliopo Wilayani Ikungi Mkoani Sindiga alipofanya ziara ya kukagua usimikaji wa mifumo Usalama na Afya katika mgodi huo kabla...
Share:

DKT. NDUMBARO AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUUTUMIKIA UMMA KWA UZALENDO, UADILIFU NA WELEDI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akifungua kikao kazi cha ofisi yake na Taasisi zinazosimamia Maadili na vyama vya kitaaluma chenye lengo la kubadilishana uzoefu wa usimamizi wa maadili, kilichofanyika Ukumbi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI Mtumba jijini...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger