Sunday 27 June 2021

Manji Aibuka Kwenye Mkutano Mkuu Yanga

...


Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Yanga, Yusuph Manji leo Juni 27 ni miongoni mwa waliohudhuria mkutano wa wa Yanga.

Manji alipata nafasi ya kusalimiana na Mwenyekiti wa Yanga kwa sasa ndugu Mshindo Msolla pia alipata fursa ya kuwasalimia mashabiki wa Yanga.

Mkutano unafanyika Kwenye ukumbi wa DYCCC, Chang'ombe, Dar kuanzia asubuhi huku ajenda kubwa ikiwa ni kuelekea kwenye Kwenye mabadiliko.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger