Monday 28 June 2021

Burna Boy Ashinda Tuzo Ya BET 2021 katika kipengele cha Best International Act

...


Msanii Burna Boy kutokea nchini Nigeria leo Juni 28, 2021 amefanikiwa kushinda tuzo ya BET kupitia kipengele cha BEST INTERNATIONAL ACT 2021.

Ushindi wa msanii huyo kutoka Nigeria, unamfanya awabwage washindani wake waliokuwa wakichuna katika kipengele hicho akiwemo Diamond Platnumz na Wizkid kutoka nchini Nigeria.

Wengine waliokuwa katika kipengele hicho ni Aya Nakamura (Ufaransa),Emicida (Brazili), Headie One (Marekani) Young T & Bugsey (Marekani) na Youssoupha (Ufaransa)



Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger