Sunday, 31 January 2021

Wakamatwa Kwa Madai Ya Wizi Wa Fedha Kwa Njia Ya Simu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Ialla jijini Dar es Salaam linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za wizi wa mtandaoni na utapeli. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa Ilala, Janeth Magomi imeeleza kuwa watuhumiwa hao wamekamatwa katika tarehe tofauti ya mwezi Januari mwaka huu...
Share:

Serikali yakamilisha ujenzi wa kituo cha kupozea umeme wa SGR

Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekamilisha ujenzi wa miundombinu ya umeme itakayotumika kuendesha treni ya mwendokasi (SGR) kutoka jijini Dar es Salaam hadi mkoani Morogoro huku awamu ya pili kutoka mkoani Morogoro kuelekea Matukupola mkoani Dodoma ikitarajiwa kuanza hivi...
Share:

IGP Sirro Awataka Polisi Wasaidizi Kufuata Sheria

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewataka Polisi Wasaidizi waliopo kwenye taasisi mbalimbali nchini kuhakikisha wanaheshimu na kuzingatia sheria sambamba na nidhamu wakati wanapotekeleza majukumu yao ya kazi za kila siku katika kubaini, kuzuia na kupambana na uhalifu. IGP Sirro amesema...
Share:

Video Mpya ya Zuchu – Sukari

Video Mpya ya Zuchu – Sukar...
Share:

Marekani Yasitisha Mpango wa Chanjo kwa Wafungwa

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema itasimamisha mpango wake wa kuwapa chanjo dhidi ya COVID-19 wafungwa wa makosa ya ugaidi wanaozuiwa kwenye kambi ya Guantanamo kufuatia kuongezeka kwa malalamiko katika wakati ambapo nchi hiyo inajikakamua kuwachanja kwanza watumishi wa afya na wazee.  Msemaji...
Share:

Tutatenga Fedha Kwa Ajili Ya Huduma Za Ugani- Prof. Mkenda

Wizara ya Kilimo imesema katika bajeti ya mwaka 2021/22 inatarajia kutenga fedha mahsusi kwa ajili kugharimia huduma za ugani ili kuondoa changamoto zinazotatiza ukuaji wa tija kwenye uzalishaji mazao nchini ikiwemo maslahi ya maafisa kilimo ugani. Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda ametoa kauli...
Share:

Naibu Waziri Mabula Awabana Watendaji Sekta Ya Ardhi Kuongeza Kasi Utoaji Hati

 Na Munir Shemweta, WANMM MARA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka Watendaji wote wa sekta ya ardhi katika halmashauri kushiriki zoezi la kuandaa hati za ardhi ili kuongeza kasi ya utoaji hati katika maeneo mbalimbali nchini. Dkt Mabula ametoa agizo...
Share:

Serikali Yaokoa Shilingi Milioni 304 Ujenzi Wa Jengo La Dharura

Na. WAMJW-Tabora Wizara ya Afya imeokoa takribani shilingi milioni 389 katika ujenzi wa jengo la Idara ya huduma za wagonjwa wa dharura linalojengwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora- Kitete ambalo limewekwa jiwe la msingi na Rais Dkt. John Pombe Magufuli. Hayo yameelezwa jana na Waziri...
Share:

Updates : PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG ....IMEFANYIWA MABORESHO 2021

...
Share:

Procurement and Logistics Coordinator at Plan International Tanzania

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Procurement and Logistics Coordinator Location: Ifakara, Tanzania Company: Plan International The Organisation Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls. We believe in the power and potential...
Share:

Crane Operator at Gas Entec Co. L.T.D

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content JOB OPPOETUNITY AT GAS ENTEC CO LTD   PROJECT TITLE: CONSTRUCTION OF 1200 PASSENGER FERRY SHIP DESIGNATION: Crane Operator (1 POST) PLACE OF WORK: MWANZA JOB SUMMARY: Responsible for Crane Operation and maintenance Inspecting equipment, structures, or materials to identify...
Share:

1500+ Jobs at JVACEE a Joint venture company of Arab Contractors And El-sewedy Electric (Stigler’s Gorge Project)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content JVACEE is a Joint venture company of Arab Contractors and El-sewedy Electric, dealing with the scope of Engineering, Procurement & Construction of Julius Nyerere Hydropower Project in Stigler’s Gorge in Tanzania, which is expected to produce 2,115 MW of installed capacity. Job Title:  Foreman...
Share:

7 Job Opportunities at Rural Energy Agency (REA)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Job Opportunities at Rural Energy Agency (REA) Rural Energy Agency (REA) is an autonomous body under the Ministry of Energy and Minerals of the United Republic of Tanzania. Its main role is to promote and facilitate improved access to modern energy services in rural areas of Mainland...
Share:

Procurement And Supplies Officer at Rural Energy Agency (REA)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST: PROCUREMENT AND SUPPLIES OFFICER II – 1 POST POST CATEGORY(S) PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Rural Energy Agency (REA) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-28 2021-02-10 DUTIES AND RESPONSIBILITIES   Evaluating vendor performance...
Share:

Monitoring And Evaluation Officer at Rural Energy Agency (REA)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST: MONITORING AND EVALUATION OFFICER II – 1 POST POST: CATEGORY(S) BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES ENGINEERING AND CONSTRUCTION PROJECT, PLANNING AND POLICY MANAGEMENT STATISTICS AND MATHEMATICS WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES EMPLOYER Rural Energy Agency...
Share:

Project Engineers at Rural Energy Agency (REA)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST: PROJECT ENGINEER II – 5 POSTS POST: CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER Rural Energy Agency (REA) APPLICATION TIMELINE: 2021-01-28 2021-02-10 DUTIES AND RESPONSIBILITIES Managing projects contracts; Assisting in project identification, Planning, supervision...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JANUARI 31,2021

...
Share:

TADB YAWEZESHA WAFUGAJI KUPATA NG'OMBE WA KISASA WA MAZIWA

Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Benki ya Kilimo (TADB) Jeremiah Mhada wa kwanza kulia akimkabidhi hundi ya Sh Milioni 396 Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki kwa ajili ya wafugaji mkoani Tanga kupata mbegu ya ng’ombe bora wa kisasa wa maziwa wakiwemo wafugaji 114 kupitia vyama vya msingi...
Share:

Saturday, 30 January 2021

WAZIRI MWAMBE AKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI JIJINI DODOMA

  Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Geoffrey Mwambe,akizungumza na Mtendaji Mkuu na Meneja wa kiwanda cha Dangote nchini Tanzania Bw.Abdullahi Baba aliyemtembelea ofisini kwake leo Januari 29,2021 jijini Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Geoffrey Mwambe,akimsikiliza Mtendaji Mkuu na Meneja...
Share:

WAFUGAJI NCHINI WATAKIWA KUFUGA KISASA

Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki akizungumza wakati wakati wa hafla ya kukabidhi malori na vifaa vya maziwa kutoka shirika la Heifer International kupitia mradi wa usindikaji maziwa Tanzania (TMPP) iliyofanyika katika kiwanda cha Tanga Fresh kilichopo Jijini Tanga kushoto aliyekaa...
Share:

RAIS MAGUFULI AZINDUA MRADI WA MAJI TABORA NA UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA HUDUMA YA DHARURA HOSPITALI YA KITETE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi wengine wakati akizindua mradi mkubwa wa Maji ya Ziwa Victoria utakohudumia miji ya Tabora, Igunga na Nzega.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipiga...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger