Monday 23 November 2020

HIACE YAPINDUKA NA KUUA WATU NANE BUKOBA

...

Watu wapatao nane wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari la abiria lenye namba za usajili T.471 DCG linalofanya safari za kubeba abiria kutoka Kemondo kwenda Bukoba Mjini, baada ya gari hilo kufeli breki na kupinduka.

Ajali hiyo ilitokea Novemba 22 saa 1:45 usiku na gari hilo aina ya Toyota Hiace yenye namba za usajili T. DCG lilikuwa likiendeshwa na Ismail Rashid (37) mkazi wa Kemondo.

Via Mwananchi
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger