Thursday, 7 March 2019

WAFANYAKAZI WA CLOUDS MEDIA WAPATA AJALI WAKITOKA KUMZIKA RUGE

...
Sehemu ya Timu ya Production ya Clouds Media ikiwa na Watu 6 ikitokea katika Msiba wa Ruge Mutahaba Kagera imepata ajali ya gari Dodoma ambapo limepinduka mara tatu.

Hakuna aliyepata madhara makubwa kutokana na ajali hiyo ambapo kwa sasa wanaendelea na matibabu Dodoma.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger